usinijibu hivyo
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 248
- 327
Mwaka 1972 Idd alimtembelea Mzee Kenyata Kenya
alipotua uwanja wa ndege,Idd alishuka na mwanae mdogo na baada ya Mzee Kenyata kumpa mkono kumsalimia dogo alipiga salute...
Nani anajua wapo wapi watoto wa Idd na wanajipanga kufanya ninj?View attachment 1097410View attachment 1097411View attachment 1097412View attachment 1097413View attachment 1097414
Punguza chumvi kidogo hakilikiNo alimuua kwa kumpiga risasi. Idd Amin Dadaa alimfundisha huyo dogo kutumia pistol, kwa kuwaua kuku na kupiga vitu Vingi vingi ili kumpa uhodari wa kutumia siraha.
Kuna siku alitoka kuoga, ghafla akakutana na dogo ameshika mguu wa Kuku na kumuambia mikono juu, ndipo alipomuomba aache huo mchezo. Baadae akaichukua na kumpiga nayo na kumuua moja kwa moja.
mkuu habari hii umeipata wapiNo alimuua kwa kumpiga risasi. Idd Amin Dadaa alimfundisha huyo dogo kutumia pistol, kwa kuwaua kuku na kupiga vitu Vingi vingi ili kumpa uhodari wa kutumia siraha.
Kuna siku alitoka kuoga, ghafla akakutana na dogo ameshika mguu wa Kuku na kumuambia mikono juu, ndipo alipomuomba aache huo mchezo. Baadae akaichukua na kumpiga nayo na kumuua moja kwa moja.
mkuu habari hii umeipata wapi
Hapo hakuna chumvi ingia google utaona.Punguza chumvi kidogo hakiliki
ohooo kumbeNo alimuua kwa kumpiga risasi. Idd Amin Dadaa alimfundisha huyo dogo kutumia pistol, kwa kuwaua kuku na kupiga vitu Vingi vingi ili kumpa uhodari wa kutumia siraha.
Kuna siku alitoka kuoga, ghafla akakutana na dogo ameshika mguu wa Kuku na kumuambia mikono juu, ndipo alipomuomba aache huo mchezo. Baadae akaichukua na kumpiga nayo na kumuua moja kwa moja.
Hivi huyo nduli wa magogoni wana undugu naye? Maana tabia zao zimeshabihiana sana.
Hahaaa itakuwa walichezaga kombolela pamoja utotoniHivi huyo nduli wa magogoni wana undugu naye? Maana tabia zao zimeshabihiana sana.
Hata Mimi niliiona articles Fulani kumhusu huyo dogo wa zamani ni kwamba kutokana na tabia ya babu Amin kusikiliza sana waganga na tawire kama zote kuna mganga akamtabiria kua Luna mwanae atakuja kumpindua na kumuua Ili atawale yeye hapo ndipo akaamua ammalize nakumbuka hivyoNo alimuua kwa kumpiga risasi. Idd Amin Dadaa alimfundisha huyo dogo kutumia pistol, kwa kuwaua kuku na kupiga vitu Vingi vingi ili kumpa uhodari wa kutumia siraha.
Kuna siku alitoka kuoga, ghafla akakutana na dogo ameshika mguu wa Kuku na kumuambia mikono juu, ndipo alipomuomba aache huo mchezo. Baadae akaichukua na kumpiga nayo na kumuua moja kwa moja.
Ukosahihi kabisa.hakumchelewesha alivoirudisha mikononi mwake alimfumua bilakujaliNo alimuua kwa kumpiga risasi. Idd Amin Dadaa alimfundisha huyo dogo kutumia pistol, kwa kuwaua kuku na kupiga vitu Vingi vingi ili kumpa uhodari wa kutumia siraha.
Kuna siku alitoka kuoga, ghafla akakutana na dogo ameshika mguu wa Kuku na kumuambia mikono juu, ndipo alipomuomba aache huo mchezo. Baadae akaichukua na kumpiga nayo na kumuua moja kwa moja.
Nakumbuka kama alikuwa Moses Amin?Hata Mimi niliiona articles Fulani kumhusu huyo dogo wa zamani ni kwamba kutokana na tabia ya babu Amin kusikiliza sana waganga na tawire kama zote kuna mganga akamtabiria kua Luna mwanae atakuja kumpindua na kumuua Ili atawale yeye hapo ndipo akaamua ammalize nakumbuka hivyo
Si kweli kwamba Amin alimuua mtoto wake,Jaffery Amin mtoto mwingine wa Amin anasema moses yupo na ana maisha yake huko France.Nakumbuka kama alikuwa Moses Amin?
Hakuna kitu kama hicho,zilikua Propaganda za vita zile.Mi naskia jamaa alimtafuna mtoto wake.
Alimla mchemsho then kichwa akaweka kwenye freezer kwa matumizi ya baadae