Yupo wapi Innocent Sahani maarufu kama D Knob?

Waliendekeza starehe hawakuwekeza wachache waliwekeza kidogo afadhali

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
"Ndinga... tukicruise town, ni mshiko juu ya dashboard traffic kuwacool down.."

Nishike Mkono. What's up Mr Sahani.

-Kaveli-
 
 

Attachments

Huhaa!!!daah mwamba ni mkali sana nikiwa gheto la masela na winn forest ya zamani, hahaaa enzi za mbya benki kuu kwa sana kuchukua noti mpya mpya. Maisha matamu sana D Knob what a talent that has gone missing.
Enzi zile Forest ya zamani Kuna kijiwe kinaitwa MamaLand...aiseee ilikuwa noma Sana, ukisikia tu huuuuuuaaaaaa!!!!aiiiiiiih... Machizi wangu wa Mbeya Sec walikuwa wanamkubli Sana Mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…