Lyrics Master
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 479
- 670
- Thread starter
-
- #81
Nimeshashiba ugali, ngangali,Nafikiria makubwa,
Nataka kuacha ujuba,
Jinsi nilivyo watu wote wanashangaa,
Akili mali (mali)
Mwanzo mkali na mwisho mkali,
Mwanga njoo gizani upate discipline,
Dah hata sikumbuki kama ndiyo verse ziko hivyo hivyo ila kipindi hicho msanii yeyote ana chansi ya kusikika haijalishi anatokea kundi gani.
Hakuna stori za utimu.
Hii ngoma ilikua na Chorus kali kinoma! dah mziki huu haupo tena sasa hivi tuna Amapiano ama kweli zama zime badilikaNafikiria makubwa,
Nataka kuacha ujuba,
Jinsi nilivyo watu wote wanashangaa,
Akili mali (mali)
Mwanzo mkali na mwisho mkali,
Mwanga njoo gizani upate discipline,
Dah hata sikumbuki kama ndiyo verse ziko hivyo hivyo ila kipindi hicho msanii yeyote ana chansi ya kusikika haijalishi anatokea kundi gani.
Hakuna stori za utimu.
Kuna ngoma MOJA kamshirikisha Dully Skye's inaitwa kwanini!!!! Hivi nayo ipo!?naitafuta sanaNimeingia Apple Music nimekuta nyimbo zake zote
Siku hizi tunaimba magodoro tumeloweka majiHii ngoma ilikua na Chorus kali kinoma! dah mziki huu haupo tena sasa hivi tuna Amapiano ama kweli zama zime badilika
😭😭😭😭😭
Huwa nikisikiliza magoma kama haya moyo huuma sana nikiwaona hawa wasanii.
Ile video yake sasa ya kibabe kinoma
We naye unakurupuka hujui unachoongea.
Umezaliwa juzi humjui mtu unashuzika kwenye thread
Kifimbo Kama Nyerere, vijiti watabeba waoNishike mkono by D KnobView attachment 2015770
Hatari Sana Hii"Ndinga... tukicruise town, ni mshiko juu ya dashboard traffic kuwacool down.."
Nishike Mkono. What's up Mr Sahani.
-Kaveli-
LACK OF DISCPLINE... HII NI SABABU WATU PIA WANASHINDWA KUPIGA HATUA KWENYE LIFE.. HATA AMBAO SIO WASANII..Wasanii wengi sana wa kipindi cha 2000 hadi 2010 wanatia huruma sana tena sana!
1. Kwenye kundi la wanaume family wengi wao ni choka mbaya,mateja na wengine watapeli
2. TMK family nao ni choka mbaya!
3. Gangwe Mob, Inspector Haruni hua anapiga show hadi ya beer mbili! Mwenzake Luteni Kalama sijui yuko wapi!
4. HB sijui wako wapi, Jay kidogo ndiyo yupo lakini Fanani alikua Teja balaa!
5. University Corner wako wapi
6. Manzese Crew wako wapi
7. Tip Top wako wapi
8. East Coast timu wako wapi
9. BWV wako wapi
10. East zoo wako wapi
11. Zay B
12. Sister P
13. B band wako wapi
14. Matonya yuko wapi
15. Jose Mtambo
16. Dan Msimamo
17. Daz Dundaz wako wapi
Wasanii ni wengi sana wamepotea kutokana na madawa au umri umewaacha!
Wachache sana bado wapo kwenye hit
SijaionaKuna ngoma MOJA kamshirikisha Dully Skye's inaitwa kwanini!!!! Hivi nayo ipo!?naitafuta sana
Hivi ngoma ilikuwa inaitwaje mkuuJos Mtambo anakuuliza;
Unaonaje Mungu wangu wangu, amnyonge shetani wako,
Halafu mamangu anamchapa mkofi dingi yako!
unaonajeHivi ngoma ilikuwa inaitwaje mkuu
Mi pia kijana wa Mlelwa wa Mbeya Day enzi hizo kabla kutimkia mbeleEnzi zile Forest ya zamani Kuna kijiwe kinaitwa MamaLand...aiseee ilikuwa noma Sana, ukisikia tu huuuuuuaaaaaa!!!!aiiiiiiih... Machizi wangu wa Mbeya Sec walikuwa wanamkubli Sana Mwamba
Asante sanaunaonaje
Pesa ya mziki ni ngumu sana kuitunza japo wapo wachache wanaweza kuji control, msanii anajua kesho ata toa ngoma nyingine ita hit atapiga helaKuna vitu tunashindwa kufahamu kwamba Kama shughuli yako ya kupata ridhiki sio rasmi ni vema ukawa makini Sana ...pindi unapopata pesa hasa pesa Kama walizokuwa wakipata hao wasanii..ni lazima uwe una mindset ya kufocus mbali ...mfano kwa miaka hiyo wasanii wengi walikuwa wahitimu wa. Kidato Cha sita so walikuwa na chance za kujiendeleza but walijisahau ..mfano mwanafa mjanja alistuka mapema akaenda ifm..akirudi jioni anakaa maskani chaga bite makumbusho na wakina soggy doggy..ngwea .jaymoe ..Cha ajabu hawakushtuka kwanini mwenzao anakwenda kujiendeleza na anarudi maskani...wakati na wao ni form six Kama yeye matokeo yake mwanafa Yuko vizuri wenzake wanalia njaa...juzi Kati nilimuona ferooz mitaa ya sinza kwa Remy nilitaka kulia .. na pia nilimuona dark master wanatia huruma..solothang Naye alistuka mapema akaomba viza akaenda uingereza akabaki hukohuko..alijua mambo yatabadilika siku moja ndugu yangu jay moe kinachombeba nyumbani maisha mazuri anaishi sinza ndugu zake wote wako ulaya...fidq mjanja kajipendekeza kwa ay na Mambo yameanza kumnyokea...so hii muhimu hata kwa wasanii wa Sasa hivi...huwa nikimuona harmonize hakifanya fujo namuonea huruma Sana anapata pesa nyingi anazichezea na mademu wa kizungu siku moja atalia na kusaga meno...
Unapata milion tano (05) unatumia gharama za milion 4 kujionesha kwamba una milion 5.Pesa ya mziki ni ngumu sana kuitunza japo wapo wachache wanaweza kuji control, msanii anajua kesho ata toa ngoma nyingine ita hit atapiga hela