kwa sauti yangu napewa heshima ya real MC,
D.Knob njoo maskani machizi wanakumiss,
na baada ya show nabeba mshiko halafu inakua hivi,
(Mzee Dee)twende club tukabebe mabinti,
sauti yangu ya gharama kama sumaku hivi,
inaleta marafiki, inaleta maadui,
ipo mzigoni kutokana na elimu ya mitaani,
iliyowaingiza darasani, sasa nawapa burudani,
ndiomaana dakika moja mitaaani, ya pili studioni na ya tatu itakuwa sokoni.,
ndiomaana dakika moja mitaani, ya pili studioni yaaaaaaaaaaaaap
......Narudi maskani namkuta mama kibarazani huku niko bwax halaf nina chupa ya kresti mfukoni.....huhaaaa......sura amekunja eti staki skuli kisa afande mkisi ananiburuza kwenye madawati......huhaaaa"........Jamaa alikuwa mfalme wa Mitaa kuanzia miaka ya 2003 kwa ngoma zake maarufu Kama,
Elimu mitaani.com,
Sauti ya Gharama,
Bomoa Mipango,
Kitu Gani N.k
Yupo wapi huyu mwamba!? Hata Instagram Hana account
View attachment 2014601
Kila mtu hawezi kua kama Alpha BlondyShida itakuwa madawa na kutojiweka vizuri, wakina Alpha Blond wanaimba mpaka leo na umri wao huo.
Jifunze kutumia akili.Kila mtu hawezi kua kama Alpha Blondy