hahaha..anatuchosha tu huyu jibabaWewe ndiye Kelvin Twissa mwenyeww umeamua kujiibua kivingine ukivizia vizia za uteuzi. Najushauri Baku tu huko ulipo, unakotaka kwenda siko kabisa.
Kesha zeeka kwani..?Wakati yuko kijana nilikuwa nampendaaa....
Kesha zeeka kwani..?
hahahaha nimecheka sanaWewe ndiye Kelvin Twissa mwenyeww umeamua kujiibua kivingine ukivizia vizia za uteuzi. Najushauri Baku tu huko ulipo, unakotaka kwenda siko kabisa.
Kweli hata mimi mara ya mwisho nilimuona paleNinavyojua stil yuko Vodacom km guru wa Marketing. Kama ulivyosema anakipaji cha udj ni kweli na kipaji hicho huwa anakifanyia kazi pale the Alcade east 24 Mikocheni ambako huwa anaungana na DJ peter moe kwa project ya grooveback. Mara nyingi huchezesha session ya nyimbo za Ragga, dancehall, riddim, lovers rock na jamii yake.
Kazeeka? Abusing alcohol is a problemWakati yuko kijana nilikuwa nampendaaa....
Ukijitunza haina shida....uzee haupo mjini lakiniSio mzee kwa maana ya mzee ila umri utakuwa umeenda kama wa Kasie vilee.....
Wenyewe wanasema uzee ni uchakavu ila usipochakaa utabaki kijana tuu.