Usigune mpenzi
Umenichoma
Anza leoDah...nitaanza kupunguza...mdogo mdogo..dah [emoji2960]
Sent using Beretta ARX 160
Njoo chumbani sasaOh pole sana jamani
Njoo chumbani sasa
Last night was fantastic dearNaja
Acha uchochezi mkuu
Unanichomea utambi kwa mama watoto
Mnasingizia mengi kila kitu nlikuwa kwenye kikoba, kuna mama wa kikoba tunamchangia, kuna mchango wa kikoba, tumeongeza mtu kwenye kikoba...
Am blowing kisses towards you [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji16][emoji16] basi hatutawakuwa tunawasimuliaMnasingizia mengi kila kitu nlikuwa kwenye kikoba, kuna mama wa kikoba tunamchangia, kuna mchango wa kikoba, tumeongeza mtu kwenye kikoba...
Kuna mama na dada flani kwenye kikoba wana vihherehere wanajfanya wajuaji, tunavunja kikoba yan maisha yote ni kikoba...
What the hell..??! [emoji856]
Umeanza tena... KarmaAm blowing kisses towards you [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Dah...ukweli vikoba ni vya wanawake...lakini wachangiaji ni wanaume...vinavuruga bajeti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mikopo tunakopa sie marejesho mnafanya ninyiDah...ukweli vikoba ni vya wanawake...lakini wachangiaji ni wanaume...vinavuruga bajeti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Beretta ARX 160
Last night was fantastic dear