iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
Viongozi wa klabu ya Simba mbona mnajidhalilisha kwa kusema uongo mkiongozwa na mtendaji mkuu (CEO), Pamoja na meneja wa habari na mawasiliano Ahmed Ally.
Mliutangazia umma na mashabiki wa Simba kwa ujumla kwamba kocha angetangazwa punde, hivi mnaijua punde?acheni ujinga kutuona hatujui kitu, mmefanya kitu kibaya sana.
Usomi wenu hauendani na matendo yenu.
Hatuendi uwanjani kesho
Hatuendi uwanjani kesho
Mliutangazia umma na mashabiki wa Simba kwa ujumla kwamba kocha angetangazwa punde, hivi mnaijua punde?acheni ujinga kutuona hatujui kitu, mmefanya kitu kibaya sana.
Usomi wenu hauendani na matendo yenu.
Hatuendi uwanjani kesho
Hatuendi uwanjani kesho