iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
We jamaa mbona hayajasoma hayo majamaa futa kauli ya usomi wenu masta, ila simba mashabiki mmekuwa na hasira sana safari hii 😂😂😂Viongozi wa klabu ya Simba mbona mnajidhalilisha kwa kusema uongo mkiongozwa na mtendaji mkuu (CEO), Pamoja na meneja wa habari na mawasiliano Ahmed Ally .
Mliutangazia umma na mashabiki wa Simba kwa ujumla kwamba kocha angetangazwa punde, hivi mnaijua punde?acheni ujinga kutuona hatujui kitu, mmefanya kitu kibaya sana.
Usomi wenu hauendani na matendo yenu.
Hatuendi uwanjani kesho
Hatuendi uwanjani kesho
pale walitaka waseme nyie punda,wakajikuta wameandika hivi punde...Viongozi wa klabu ya Simba mbona mnajidhalilisha kwa kusema uongo mkiongozwa na mtendaji mkuu (CEO), Pamoja na meneja wa habari na mawasiliano Ahmed Ally .
Mliutangazia umma na mashabiki wa Simba kwa ujumla kwamba kocha angetangazwa punde, hivi mnaijua punde?acheni ujinga kutuona hatujui kitu, mmefanya kitu kibaya sana.
Usomi wenu hauendani na matendo yenu.
Hatuendi uwanjani kesho
Hatuendi uwanjani kesho
Kafungua whatsap channel alisema waliwafataUyu CEO toka amekuja hakuna jambo la maana amefanya anaanzisha program nyingi zisizo na maana wala muendelezo! Jamaa ni mbabaishaji mno!
Alifungua wasap channel na program ya back to school ndiyo mafanikio yake🤣🤣 na kupeleka jezi mlima kilimanjaroUyu CEO toka amekuja hakuna jambo la maana amefanya anaanzisha program nyingi zisizo na maana wala muendelezo! Jamaa ni mbabaishaji mno!
Kabisa hadi anaenda kuzindua Wasap Channel.Uyu CEO toka amekuja hakuna jambo la maana amefanya anaanzisha program nyingi zisizo na maana wala muendelezo! Jamaa ni mbabaishaji mno!
Aaaaah thubutuuuuPoleni sana watani zetu msikate tamaa nendeni uwanjani jumamosi mtapata matokeo mazuri
😹 Mashabiki Bora afrika wamesusa 🤣🤣Viongozi wa klabu ya Simba mbona mnajidhalilisha kwa kusema uongo mkiongozwa na mtendaji mkuu (CEO), Pamoja na meneja wa habari na mawasiliano Ahmed Ally .
Mliutangazia umma na mashabiki wa Simba kwa ujumla kwamba kocha angetangazwa punde, hivi mnaijua punde?acheni ujinga kutuona hatujui kitu, mmefanya kitu kibaya sana.
Usomi wenu hauendani na matendo yenu.
Hatuendi uwanjani kesho
Hatuendi uwanjani kesho
Bado wanaweweseka na zile 5We jamaa mbona hayajasoma hayo majamaa futa kauli ya usomi wenu masta, ila simba mashabiki mmekuwa na hasira sana safari hii [emoji23][emoji23][emoji23]
Bado wanaweweseka na zile 5
Tumekubaliana HATUENDIIIII. 😆🤣Poleni sana watani zetu msikate tamaa nendeni uwanjani jumamosi mtapata matokeo mazuri