ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Amekua kimya sana mkongwe huyu ambae Mimi namkubali sana Kama mmoja wa walimu wazuri sana wazalendo wa mpira wa miguu ambae bado amekua akijitahidi kushauri lakini amekua ni kama athaminiwi lakini ni mmoja wa watu wanaofahamu vizuri Siri ya soka letu
Nimeshangaa tokea zilipoanza kampeni za Serengeti U17 tumekua tukisikia sauti zahamasa toka kwa watu mbalimbali ikiwemo wanasiasa ila sauti au ushauri toka kwa mtu kama Julio haukuwahi kusikika kabisa
Kuondolewa kwa Serengeti kuwe chachu na kianzio cha Tff /serikali kuanza sasa kujipanga kutengeneza timu imara ya kiwango cha kimataifa huko baadae na mmoja wa wadau wa kampeni hii awe Mzalendo Jamhuri Kiwelo.
Nimeshangaa tokea zilipoanza kampeni za Serengeti U17 tumekua tukisikia sauti zahamasa toka kwa watu mbalimbali ikiwemo wanasiasa ila sauti au ushauri toka kwa mtu kama Julio haukuwahi kusikika kabisa
Kuondolewa kwa Serengeti kuwe chachu na kianzio cha Tff /serikali kuanza sasa kujipanga kutengeneza timu imara ya kiwango cha kimataifa huko baadae na mmoja wa wadau wa kampeni hii awe Mzalendo Jamhuri Kiwelo.