Yupo wapi Micky Jr aliyetumika na Simba sc kusambaza propaganda za kumtia preha Azizi k??

Yupo wapi Micky Jr aliyetumika na Simba sc kusambaza propaganda za kumtia preha Azizi k??

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Maisha yanakwenda Kasi sana Kuna kipindi waandishi wa habari na wachambuzi wa Mchongo, walitumika vibaya sana kuwatoa kwenye mchezo wachezaji wa Yanga Sc akiwemo Aziz K.

Nakumbuka msimu uliopita ulikua mchungu sana kwa wachezaji wa Yanga, Micky Jr alitumika vibaya kumshambulia Aziz K, alifikia hatua Yakusema kuwa "Yanga Sc wamepigwa na Aziz k Hana hadhi ya kucheza Yanga maana Hana kiwango"

Ukiangalia msimu uliopita Nabi alikua anamuweka benchi Azizi k anaanza Feisal maneno ndiyo yalikua mengi sana Tena sana.

Saivi Aziz K mwamba anakiwasha, mwamba anakiwasha anatupia goli za kutosha hakuna hata mwandishi wa habari /mchambuzi wa Mchongo aliyejitokeza na kumuomba radhi Aziz K.

Ikumbukwe Aziz K Alishawahi kumjibu Mick jr kwa propaganda zake za kipumbavu alizokua anazifanya /kutumika vibaya na upande wa pili.

SAIVI TIMU YA SIMBA SC INAJITAFUTA WACHAMBUZI WA MCHONGO/WALIOKUA WANARAMBA PERCENT KUTOKA SIMBA WAPO KIMYA KAMA WAMEKUFA WANASUBIRI TIMU IFUFUKE TENA WAANZE KUIPAMBA.
20231123_175837.jpg
 
Maisha yanakwenda Kasi sana Kuna kipindi waandishi wa habari na wachambuzi wa Mchongo, walitumika vibaya sana kuwatoa kwenye mchezo wachezaji wa Yanga Sc akiwemo Aziz K.

Nakumbuka msimu uliopita ulikua mchungu sana kwa wachezaji wa Yanga, Micky Jr alitumika vibaya kumshambulia Aziz K, alifikia hatua Yakusema kuwa "Yanga Sc wamepigwa na Aziz k Hana hadhi ya kucheza Yanga maana Hana kiwango"

Ukiangalia msimu uliopita Nabi alikua anamuweka benchi Azizi k anaanza Feisal maneno ndiyo yalikua mengi sana Tena sana.

Saivi Aziz K mwamba anakiwasha, mwamba anakiwasha anatupia goli za kutosha hakuna hata mwandishi wa habari /mchambuzi wa Mchongo aliyejitokeza na kumuomba radhi Aziz K.

Ikumbukwe Aziz K Alishawahi kumjibu Mick jr kwa propaganda zake za kipumbavu alizokua anazifanya /kutumika vibaya na upande wa pili.

SAIVI TIMU YA SIMBA SC INAJITAFUTA WACHAMBUZI WA MCHONGO/WALIOKUA WANARAMBA PERCENT KUTOKA SIMBA WAPO KIMYA KAMA WAMEKUFA WANASUBIRI TIMU IFUFUKE TENA WAANZE KUIPAMBA.View attachment 2844858
Unafanya maksudi au? unajua kabisa kuwa jamaa yuko kule X, sasa huku ulikoleta unataka nani akujibie?
 
Kama ambavyo wanatumika wachambuzi wa bongo kusema Simba Mbovu,pia walitumika kusema Kibu D simba wamepigwa,Onana Simba wamepigwa lakini hawasemi ukweli kuwa Gift wa Uganda na konkon yanga wamepigwa.
Huwezi ukamuhukumu mchezaji kwa dakika 3 au 4 mzee.

Hao wakina sawadogo na Nelson Okwa siyo wabovu Bali hawakupewa muda wa kucheza.
 
Maisha yanakwenda Kasi sana Kuna kipindi waandishi wa habari na wachambuzi wa Mchongo, walitumika vibaya sana kuwatoa kwenye mchezo wachezaji wa Yanga Sc akiwemo Aziz K.

Nakumbuka msimu uliopita ulikua mchungu sana kwa wachezaji wa Yanga, Micky Jr alitumika vibaya kumshambulia Aziz K, alifikia hatua Yakusema kuwa "Yanga Sc wamepigwa na Aziz k Hana hadhi ya kucheza Yanga maana Hana kiwango"

Ukiangalia msimu uliopita Nabi alikua anamuweka benchi Azizi k anaanza Feisal maneno ndiyo yalikua mengi sana Tena sana.

Saivi Aziz K mwamba anakiwasha, mwamba anakiwasha anatupia goli za kutosha hakuna hata mwandishi wa habari /mchambuzi wa Mchongo aliyejitokeza na kumuomba radhi Aziz K.

Ikumbukwe Aziz K Alishawahi kumjibu Mick jr kwa propaganda zake za kipumbavu alizokua anazifanya /kutumika vibaya na upande wa pili.

SAIVI TIMU YA SIMBA SC INAJITAFUTA WACHAMBUZI WA MCHONGO/WALIOKUA WANARAMBA PERCENT KUTOKA SIMBA WAPO KIMYA KAMA WAMEKUFA WANASUBIRI TIMU IFUFUKE TENA WAANZE KUIPAMBA.View attachment 2844858
Aziz Ki hata msimu uliopita alifunga magoli kumi ambao ni wastani mzuri tu kwa kiungo mshambuliaji. Presha ilikuwa kubwa mnoo.
 
Maisha yanakwenda Kasi sana Kuna kipindi waandishi wa habari na wachambuzi wa Mchongo, walitumika vibaya sana kuwatoa kwenye mchezo wachezaji wa Yanga Sc akiwemo Aziz K.

Nakumbuka msimu uliopita ulikua mchungu sana kwa wachezaji wa Yanga, Micky Jr alitumika vibaya kumshambulia Aziz K, alifikia hatua Yakusema kuwa "Yanga Sc wamepigwa na Aziz k Hana hadhi ya kucheza Yanga maana Hana kiwango"

Ukiangalia msimu uliopita Nabi alikua anamuweka benchi Azizi k anaanza Feisal maneno ndiyo yalikua mengi sana Tena sana.

Saivi Aziz K mwamba anakiwasha, mwamba anakiwasha anatupia goli za kutosha hakuna hata mwandishi wa habari /mchambuzi wa Mchongo aliyejitokeza na kumuomba radhi Aziz K.

Ikumbukwe Aziz K Alishawahi kumjibu Mick jr kwa propaganda zake za kipumbavu alizokua anazifanya /kutumika vibaya na upande wa pili.

SAIVI TIMU YA SIMBA SC INAJITAFUTA WACHAMBUZI WA MCHONGO/WALIOKUA WANARAMBA PERCENT KUTOKA SIMBA WAPO KIMYA KAMA WAMEKUFA WANASUBIRI TIMU IFUFUKE TENA WAANZE KUIPAMBA.View attachment 2844858
Uyo dogo ni mpumbavu Fulani hivi asiyejitambua, kanatumika baada ya kupewa vijisent but akajui kanapambana na timu yenye nguvu kiasi Gani, kalisema kameacha kuipost yanga lakini kamekuwa kanajisahau kanajikuta kanaipost tu maana yanga kwa sasa ni Kama maji usipoyanywa utayaoga tu!
 
Back
Top Bottom