Yupo wapi mtangazaji Gerald Hando

Yupo wapi mtangazaji Gerald Hando

Ana mitandao yake ya kijamii na kama una ile namba yake ya +255758****63 Mcheki🙏🙏
 
Licha ya sauti yake ndogo hakuwa na mchango wa maana na aikosekana Kitenge na Zembwela kipindi kinakua kama cha TBC
 
Licha ya sauti yake ndogo hakuwa na mchango wa maana na aikosekana Kitenge na Zembwela kipindi kinakua kama cha TBC
Bora ameondoka Kitenge na Zembwela wale sio watangaji ni wapiga kelele tu

Mtu unatangaza habari Hadi mishipa ya shingo inakutoka
 
Bora ameondoka Kitenge na Zembwela wale sio watangaji ni wapiga kelele tu

Mtu unatangaza habari Hadi mishipa ya shingo inakutoka
Raaaaaaaabbbbbeeeekaaaaa😁

Anywy utangazaji inabidi utumie sauti kubwa ili usikike
 
Basi hakuna haja ya vifaa vya kusaidia kazi kama mics/vipaza sauti.
Baada ya usajili wa Mussa Kipanya pale Wasafi FM kwenye kipindi Cha Good Morning. Huyu Mwamba simuoni. Napenda kujua yupo wapi Mimi ni mfuasi wa utangazaji wake
Ni mtu wa chadema. Kaenda kuungana na majizi menzie pale mikocheni kuiba michango ya nyumbu
 
Back
Top Bottom