Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Ni miongoni mwa wakuu wa wilaya wa hovyo kuwahi kutokea. Jamaa.alikuwa account airport baada ya kikwete na kundi lake kuingia akateuliwa nilifanikiwa kufanya nae Kazi akiwa mkuu wa wilaya mahali fulan.
Huyu alikuwq DC Mpumbavu kuliko, aligombania mpaka wanawake bar, akiulizwa anajificha kwenye kivuli cha ukuu wa wilaya.
Nani anajua alipo hiyu?
Huyu alikuwq DC Mpumbavu kuliko, aligombania mpaka wanawake bar, akiulizwa anajificha kwenye kivuli cha ukuu wa wilaya.
Nani anajua alipo hiyu?