Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Hili la kugombania wanawake baa mbona maDC wengi tu mpaka Leo wanalifanya Mkuu. Kuna wilaya moja huko Rukwa Mkuu wa wilaya na Mkurugenzi wamekutana Kwa Malaya ikawa ilivyokuwa na yakafichwa Kwa heshima ya Chama.Ni miongoni mwa wakuu wa wilaya wa hovyo kuwahi kutokea. Jamaa.alikuwa account airport baada ya kikwete na kundi lake kuingia akateuliwa nilifanikiwa kufanya nae Kazi akiwa mkuu wa wilaya mahali fulan.
Huyu alikuwq DC Mpumbavu kuliko, aligombania mpaka wanawake bar, akiulizwa anajificha kwenye kivuli cha ukuu wa wilaya.
Nani anajua alipo hiyu?
Sijui yu wapi kwasasa ila mara ya mwisho nilikutana naye 2021 KIRANDO huko Sumbawanga akiwa anasimamia mahindi yake yasafirishwe kwenda sokoni .Ni miongoni mwa wakuu wa wilaya wa hovyo kuwahi kutokea. Jamaa.alikuwa account airport baada ya kikwete na kundi lake kuingia akateuliwa nilifanikiwa kufanya nae Kazi akiwa mkuu wa wilaya mahali fulan.
Huyu alikuwq DC Mpumbavu kuliko, aligombania mpaka wanawake bar, akiulizwa anajificha kwenye kivuli cha ukuu wa wilaya.
Nani anajua alipo hiyu?
HahahahaHebu mcheki hapo baa ya jirani
Duh kweli unamfahamu alikuwa anakula maji tangu O levelNafahamu sana Tena sana, tumesoma wote A level na O level.
Manzi kafupi kama pimbi, katata sana kishenzi. Kula fegi, Maji etc etc
Kwao Mtwara
Nimesoma naye na tulilala bweni Moja azimioDuh kweli unamfahamu alikuwa anakula maji tangu O level
Alikusalimisha kweli? Nasikia alikuwa BashaNimesoma naye na tulilala bweni Moja azimio
Ulilala nae? Wewe ulilala kwa juu au chini?Nimesoma naye na tulilala bweni Moja azimio
Wengine ndo maana walifeli mitihani yao. Watu wanajadili hivi huyu anajadili upuuzi! Hakuna masaa mengi atageukia makobazi!? Ati nawe ni GT? Inachefua na kutia kinyaaUlilala nae? Wewe ulilala kwa juu au chini?
Hivi kwa nn watu wa ufipa mnapenda sana tabia za ki-lgbt
View attachment 2574604
Wewe hujawahi kuwa na akili. Nenda kakariri aya kwenye makombeWengine ndo maana walifeli mitihani yao. Watu wanajadili hivi huyu anajadili upuuzi! Hakuna masaa mengi atageukia makobazi!? Ati nawe ni GT? Inachefua na kutia kinyaa
Nakuharibu chaguziMaDc hawana kazi maalumu so kazizao ni kutishia,kutafuta umaarufu na kugombania mademu!
Azimio ya "Complex" au ya "Kwa Njeka" ndugu Retired !!??Nimesoma naye na tulilala bweni Moja azimio