mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Nyumba mbili au tatu,gari mbili au tatu akiba ya milioni 200 bank inatosha sana,tena sana. Kumbe pesa haziwezi kuzuia pre mature death.
Babu yangu mkulima wa mpunga kule Kizuramimba alikufa na miaka 97.
Manji na mabilioni kafa na 49.!!!
Kaburi lake sasa,kama la bibi yangu tu
''death is not a great loss,a great loss is some good idea dies inside you
PIA SOMA
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani
Babu yangu mkulima wa mpunga kule Kizuramimba alikufa na miaka 97.
Manji na mabilioni kafa na 49.!!!
Kaburi lake sasa,kama la bibi yangu tu
''death is not a great loss,a great loss is some good idea dies inside you
PIA SOMA
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani