Yusuph Kagoma kutimkia Azam

Yusuph Kagoma kutimkia Azam

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Kinda wa mpira na striker hatari aliyekipiga kunako vilabu vikubwa barani ulaya kama Birmingham na Stoke city pia alicheza katika Ligi kuu ya Somalia, Msomali Yusuph Ahmed ameigomea club ya Azam iliyokuwa ikihaha kuinasa saini yake.

Hivi sasa Yusuph ataendelea kuitumikia club yake mpaka pale msimu utakapomalizika.
 
Taito uliyotumia inaudhi kweli. Nitamuambia Kagoma akushitaki akidai fidia ya billioni 5 kwa kumsababishia usumbufu mkubwa.
 
Back
Top Bottom