Yusuph Manji achukua fomu za kugombea uenyekiti wa Yanga!

mafisadi wanajaribu kuingia kila sehemu....kazi kwelikweli....afu ameingia na majina mengi kweli,mara yaoo mara spika...kumbe mtu yule yule amekuja kujisafisha jf...fisadi papa wewe
Kajiunga pia leo pia kwa jina la Gerrard. Manji bwana!!!!
 
Watanzania walivyo wajinga kama Manji atagombea sina shaka yeyote watamchagua.Sijui kwanini watanzania tunahusudu matajiri uchwara.
 
Kama Manji amechukua form ya kugombea uenyekiti Yanga ujue Yanga inakwisha. Na waelewe atakuja kugundua madudu yote ya yeye kuibiwa pesa na akina Madega na Nchunga na hiyo itapelekea yanga kuwa na hali ngumu siku chache zijazo.
 
watu wanatuvurugia mada kwa sabb ya wivu tu.Wanaona yanga inaelekea kuwa kama man city! Wanaona sasa tunakuwa tunachuana na Azam badala ya simba
siamini kama kwenye timu yangu ya yanga kuna watu viberenge kama wewe, yanga chini ya manji kuwa kama man city? ahahahaha, acha utoto aisee. kuna siku yanga itauzwa, haitakuwa timu ya watz tena, itakuwa timu ya manji, yeye kama anataka kumiliki timu, aanzishe kama wanaume wenzie kina bahkresa wa azam, na dewj, asilete mambo ya kudandia vya watu kama mtoto wa kike, yanga ina historia yake, ufisadi hatuutaki...na wale wazee wachawi na sura zao kama wwanakula watu hatuwataki yanga, vipo pale wakipewa hela ya kunywa kahawa na kashata na manji basi wanajifanya kuita vyombo vya habari, hivi yanga itatawaliwa na wachawi wazee wale hadi lini? vijana wako wapi? .......manji hatukutaki yanga...hatukutakii kabisa.
 
Umaskini wa akili wa wanachama na washabiki wa 5STAR wazee wa 5-0 wa Kuamini Mafisadi Ndo mwarobaini wa shida zao Nikutia Petrol kwenye moto ukidhani ni maji. Wajinga ndo waliwao Siku zote
 

Man city imeuzwa kwa waarabu,Man united na liverpool zimeuzwa kwenda kwa wamarekani,Chelsea imenunuliwa na mrusi,kuna timu zaidi ya 7 za uingereza zinamilikiwa na wageni na wazawa wa uingeleza hawakuwa na wivu na ubaguzi kama wako.Inshort yanga na simba hazibadiliki bcoz of wanachama kama nyie,tangu karume awajengee jengo mlishindwa hata kulipaka rangi kwa zaidi ya miaka 66, hadi manji alipojitolea kulikarabati...
 
sidhani kama una imani..you seem to be a dead man walking to me ...dunderhead
Vyovyote inavyokuwa... You are dead man too...Unashindwa hoja unaanzisha matusi.. Watu wengine wana makororo kwenye mbongo zao. Subiri uchaguzi ufanyike Manji atagombea na ukapige kura ili ashindwe badala ya kuropoka ropoka kwenye mitandao kama mtu aliyekosa uelekeo
 
yap, mahela yake ya ufisadi. no wonder hata tiketi za kuingilia uwanjani alishawahi kuamuru ziandikwe maandishi ya kuran, akifikiri wana yanga wote ni waislam....

Kwasababu button ya "DISLIKE" hamna mimi nitakuwa naangusha DISLIKE ya kuandika kwa "*****" wote wa aina hii
 
Sasa ni rasmi yanga itaongozwa na fisadi kama CCM.................

Kwasababu nyie mlishaongozwa na Fisadi mwingine wa CCM Mpanda na Bastola majukwaani Bwana Ade Maharage siyo?
 
Reactions: SG8
umaskini wa akili wa wanachama na washabiki wa 5star wazee wa 5-0 wa kuamini mafisadi ndo mwarobaini wa shida zao nikutia petrol kwenye moto ukidhani ni maji. Wajinga ndo waliwao siku zote

"dislike"
 
Naona Shida za ela zitapungua!
Wazee wa Ndalla mpo!
 

Nchi hii imejaa wafikiriao kwa Masaburi kama wewe,ulitaka Yanga iendelee kuendeshwa kimaskini ili mechi inayokuja itukute kwenye mgogoro,wachezaji hawajalipwa mishahara yao na element za kuharibiana za ndani kwa ndani ili mtufunge tena?,PERIOD.
 
Kama Manji amechukua form ya kugombea uenyekiti Yanga ujue Yanga inakwisha. Na waelewe atakuja kugundua madudu yote ya yeye kuibiwa pesa na akina Madega na Nchunga na hiyo itapelekea yanga kuwa na hali ngumu siku chache zijazo.

Aina ya jina kweli hu'reflect hali ya mtu,wewe kweli Mzee wa njaa tena siyo ya chakula tu hata ya mawazo,...kugundua madudu yaliyokuwa yanafanywa na waliokuwa wakipokea ufadhili kutoka kwake ni kuifikisha Yanga kwenye hali ngumu,ndo uelewa uliojengewa kule kwenye shule yako ya kata ulipohitimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…