[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu wewe una pumzi ya kupigana ngumi kwa dakika 9?
Kua mkweli
Hawa wanabifu round 3 zao itakua ni serious battle[emoji23] [emoji23]Zile za ulingoni ambazo unaweza kukimbia kimbia tu dakika 9 ni rahisi mkuu.
Hawa wanabifu round 3 zao itakua ni serious battle[emoji23] [emoji23]
Kama namuona Mlela akitaka kusema movie action mara ngumi kiii[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mlela hawezi kuingia ulingoni yule.
Duuh!! Slow down ndugu..saidia hata kuwapa mawazo chuki hazijengiMpumbavu wewe nani asapoti ujinga? Mimi hata bure sitaki kuzisikia hizo Bongo mavi waende kukata viuno kwa Bashite huko kenge kabisa hawa.
Msishange huyu ni beki3 wetu, ndie anaye tujazia upuuzi wa bongo mav hapa homeNimewaelewa ndio ndomana namshangaa neema
Beki tatu kazaliwa na mnyama au mwanamke?Msishange huyu ni beki3 wetu, ndie anaye tujazia upuuzi wa bongo mav hapa home
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hahaha halafu tununue bongo movies wakati Tanzania ya leo filamu tosha.