Yutong Vs scania Vs ud

UD ni gari msweden na mchina hawatii mguu hapo.
Kwa kigezo kipi? Kama ni Speed basi Scania yupo juu, labda UD ni ule uwezo wake wa kwenda safari ndefu kama kina Taqwa zile za Mombasa to Lusaka au Harare. Ila mwendo hapo Scania hana mpinzani
 
UD ni moja ya engine yenye roho ngumu sana hata mwendo zinazo pia.
Kwa kigezo kipi? Kama ni Speed basi Scania yupo juu, labda UD ni ule uwezo wake wa kwenda safari ndefu kama kina Taqwa zile za Mombasa to Lusaka au Harare. Ila mwendo hapo Scania hana mpinzani
 
Yutong hakuna kitu, likifika kwenye speed ya 105 bus linayumba, halitulii barabarani wakati Scania hata likiwa kwenye speed ya 120 bado bus linakuwa limetulia barabarani.
scania ziko vizuri sana kwenye high speed nmewah kupanda dar express kwenda nairobi kile kipande cha kuingia namanga jamaa nmeshuhudia speed 150 gari linaunguruma kama linadai gear vile i wondered yutong tupa kule
 
umenena kwel mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…