<br />
Zitakusumbua kwa sababu ya hali ya hewa kwani engine mbele ni kwa ajili ya upepo system ipoe vizuri, achana na hiyo kiti.[/QUOTE]
Mkuu ni. Kweli zitamsumbua ila si kwa sababu uliyosema! Basi zenye injini nyuma ndiyo standard ulimwenguni kwa sasa. Ndio maana mwaka 2010 fifa world cup walipotoa tenda ya mabasi kwa wageni waalikwa na wachezaji, manufacturer waliobid kwa basi za injini mbele walishindwa vibaya.Cooling system zimeimarishwa sana na kuna baadhi ya model zina double radiator. Kwa wanaotaka kuleta na kutumia basi ,zenye injini nyuma wanakabiliwa na changamoto zifuatazo
1:kwa sababu ya comfort basi za injini nyuma zinakuja na injini kubwa sana. Marcopolo paradiso kwa mfano ingine zina range 420 to 500 hp, idea ni kufanya iwe inatembea kwa mwendo wa wastani at very low engine rpm. mostly huwa 100km/h at 1000rpm,na hivyo quiet cabin. Hapo ndio suala la dereva linaingia. ukimpata dereva anayependa ligi ,utaumia sana kwenye mafuta na biashara litakushinda.
2: Kwa sababu injini kuwa nyuma .mara nyingi madereva hawaisikii hali halisi ya injini so inakuwa ngumu kufahamu ni wakati gani engine inataka change down ,hivyo wanaya overload bila kujua (magari mengi huwa yanaeleza kila kitu kwenye dash board ni bahati mbaya madereva wengi hawafatilii).matokeo yake ni kuharibu clutch plate ,bell housing ,gearbox ,axle n.k ( hili ndio linalomsumbua sumry kwenye luxury basi zake za malasia.) Hapa sasa Automatic transmition inakuwa ni best option.
3: Idea ya mashine kubwa ni kufanya kazi ya kawaida kirahisi na sio kufanya kazi ngumu kuwa ya kawaida , So routes ambazo ni power demanding kama songea ,tunduma n.k.Japokuwa basi litaweza kwenda lakini zitakugharimu mafuta na matairi(tyre friction to road increases as engine horse power increases)
Ushauri tu kama unataka kufanya biashara. Na mabasi ya mashine nyuma nunua automatic, halafu tafuta dereva mzuri litakaa miaka mia! Na utafanya biashara sana ,anayezijua raha za mabasi hayo atapanda basi mashine mbele kwa shida sana.