Babu Ubwete
Senior Member
- Jan 26, 2008
- 169
- 31
Habari zenu waungwana wana JF. Idumu JF, Tukumbukane wazee wa enzi za BCS Times. Ningependa kufahamu ile shutuma ya kutapeliwa wanawake matajiri wake za vigogo kupitia mchezo wa Upatu iliyomkabili huyu mama Zarina Madabida ilizimwa vipi kwani alikusanya mamilioni ya pesa na kutoweka nje ya nchi. Kweli wanaonusa pesa ndio wanaoingia kutuongoza ufisadi utaisha kweli.
Nafikiri huyu mama tayari ana doa na alitikiwa awe gerezani kwani Upatu kisheria huruhusiwi Tz ni aina fulani ya Money Laundering na huyu mama mpaka akina Maria Sarungi na Vipindi vyao vya Facets wali expose sana ubaya uliofanywa na mama huyu na kudai alikimbilia Ufaransa. Anajitahidi lakini tujue ameingia kuzichota za bure zisizo na auditing
Habari zenu waungwana wana JF. Idumu JF, Tukumbukane wazee wa enzi za BCS Times. Ningependa kufahamu ile shutuma ya kutapeliwa wanawake matajiri wake za vigogo kupitia mchezo wa Upatu iliyomkabili huyu mama Zarina Madabida ilizimwa vipi kwani alikusanya mamilioni ya pesa na kutoweka nje ya nchi. Kweli wanaonusa pesa ndio wanaoingia kutuongoza ufisadi utaisha kweli.
Babu,
ni vizuri kukumbushana madhambi yaliyofanywa na hawa watu wanaotaka kila siku wao watuongoze.Kwa kuwa tayari ameshaukwaa uenyekiti wa UWT dsm hata tukimjadili hapa haitasaidia sana kwa kuwa tayari ameshakalia kiti.Na kwa jinsi ilivyokuwa skendo yenyewe iliwahusisha wake wa vigogo, mke wa warioba na rupia ni majina makubwa sana nchi hii.
kwa mawazo yangu nadhani ingekuwa busara sana kama mjadala huu ungefanyika kabla hajaukwaa huo uenyekiti vinginevyo tutakuwa tunapoteza muda kumjadili hapa.
ni mtazamo tu.
Habari zenu waungwana wana JF. Idumu JF, Tukumbukane wazee wa enzi za BCS Times. Ningependa kufahamu ile shutuma ya kutapeliwa wanawake matajiri wake za vigogo kupitia mchezo wa Upatu iliyomkabili huyu mama Zarina Madabida ilizimwa vipi kwani alikusanya mamilioni ya pesa na kutoweka nje ya nchi. Kweli wanaonusa pesa ndio wanaoingia kutuongoza ufisadi utaisha kweli.