Za chini ya kapeti hichi ndio kikosi cha simba kesho..

Za chini ya kapeti hichi ndio kikosi cha simba kesho..

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Nikiwa mwanasimba kindaki ndaki nimepokea taarifa kutoka kwa kigogo mmoja ndani ya simba kikosi kitakochoanza ni hiki hapo kesho.

1:Azim dewji
2: Kasaam dewji
3: fatuma dewji
4:ahmed dewji
5: Barbra..
6:thureya dewji
7: kuruthum dewji
8:mo dewji
9: mobetto
10: monalisa
11: dalali..

Tujitokeze kwa wingi wanasimba tukamuue yanga..
Simba nguvu moja..
 
Utopolo inamaana unawaogopa banda na kanoute mpaka uombe kucheza na leaders?
 
Nikiwa mwanasimba kindaki ndaki nimepokea taarifa kutoka kwa kigogo mmoja ndani ya simba kikosi kitakochoanza ni hiki hapo kesho.

1:Azim dewji
2: Kasaam dewji
3: fatuma dewji
4:ahmed dewji
5: Barbra..
6:thureya dewji
7: kuruthum dewji
8:mo dewji
9: mobetto
10: monalisa
11: dalali..

Tujitokeze kwa wingi wanasimba tukamuue yanga..
Simba nguvu moja..
Hapo Karia yupo bench
 
Nikiwa mwanasimba kindaki ndaki nimepokea taarifa kutoka kwa kigogo mmoja ndani ya simba kikosi kitakochoanza ni hiki hapo kesho.

1:Azim dewji
2: Kasaam dewji
3: fatuma dewji
4:ahmed dewji
5: Barbra..
6:thureya dewji
7: kuruthum dewji
8:mo dewji
9: mobetto
10: monalisa
11: dalali..

Tujitokeze kwa wingi wanasimba tukamuue yanga..
Simba nguvu moja..
Umemsahau bamboo🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom