ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Ndo ukweli, I kwamba ni yake kwa asilimia 100, sema hawasemagi ukweli, c angesema ameingia ubia na kampuni ya Kenya kwani Nini mbaya.
Hongera kwa platinum, Ila natafuta karanga zako na pafyum mtaani sizioni.
Imperial Kenya karibuni muwekeze Rais kashafungua njia, muue kabisa na makampuni yetu ya ndani ya wazawa
Hongera kwa platinum, Ila natafuta karanga zako na pafyum mtaani sizioni.
Imperial Kenya karibuni muwekeze Rais kashafungua njia, muue kabisa na makampuni yetu ya ndani ya wazawa