ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Chawa kaziniNdo ukweli, I kwamba ni yake kwa asilimia 100, sema hawasemagi ukweli, c angesema ameingia ubia na kampuni ya Kenya kwani Nini mbaya. Hongera kwa platinum, Ila natafuta karanga zako na pafyum mtaani sizioni. Imperial Kenya karibuni muwekeze Rais kashafungua njia, muue kabisa na makampuni yetu ya ndani ya wazawa
Nchi imefunguliwa utaona Hadi mama ntilie wa kikenyaKama wamekubaliana sio mbaya kazi iendelee na mifukp izidi kutuna
Anazikusanya tu wewe na chuki zako humpunguzii kitu.Yale yale ya Domo karanga.
Hiyo kibiashara inaitwa franchise yaani mtu anakulipa kutumia jina lako kwenye biashara zake.Ndo ukweli, I kwamba ni yake kwa asilimia 100, sema hawasemagi ukweli, c angesema ameingia ubia na kampuni ya Kenya kwani Nini mbaya. Hongera kwa platinum, Ila natafuta karanga zako na pafyum mtaani sizioni. Imperial Kenya karibuni muwekeze Rais kashafungua njia, muue kabisa na makampuni yetu ya ndani ya wazawa
Kwani akila kamisheni kuna ubaya?Ndo ukweli, I kwamba ni yake kwa asilimia 100, sema hawasemagi ukweli, c angesema ameingia ubia na kampuni ya Kenya kwani Nini mbaya. Hongera kwa platinum, Ila natafuta karanga zako na pafyum mtaani sizioni. Imperial Kenya karibuni muwekeze Rais kashafungua njia, muue kabisa na makampuni yetu ya ndani ya wazawa
Wanaoingia mikataba naye wanataka aseme hizo kampuni ni za kwake kwahiyo kusema kuwa amaeingia ubia ni kukiuka mkataba.Ndo ukweli, I kwamba ni yake kwa asilimia 100, sema hawasemagi ukweli, c angesema ameingia ubia na kampuni ya Kenya kwani Nini mbaya. Hongera kwa platinum, Ila natafuta karanga zako na pafyum mtaani sizioni. Imperial Kenya karibuni muwekeze Rais kashafungua njia, muue kabisa na makampuni yetu ya ndani ya wazawa
Wakenya wameshampiga pesa ndefu sasa atafunga bakuli LAkeBila shaka utakua mwijaku ww