Tetesi: Za ndaaaaani, Simba walitafuta namna ya kumhonga Diara na kublock ndege yake , wakachemka

Inafikirisha sana. Timu ifanye attempt kublock ndege za mashirika ya nje tena viwanja vya watu afu uwanjani ishindwe kublock shuti moja tu la Maxi Mpia Nzengeli "The Ousborne"?....na ipate attemp on target moja tuuu? [emoji3][emoji3][emoji3]
Nimeshangaa sana hii, anafikiri airlines za wenzetu ni kama za huku kwetu ambako zinaweza fanyiwa hiyo michezo. Simba hana influence ya kiwango hicho.
 
Hajui sensitivity ya logistic ya airlines zilivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…