OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawajua vifusi kwenye timu achana na kuwa backup anaweza asiwe hata kwenye mipango ya kocha lakin akasambaza sumu wachezaji wakaanza kuzinguaMada nyingine bhana! Sasa hizo vurugu za huyo Mkude zitasababisha vipi Yanga kuwa na hali tete!! Mchezaji ambaye ni backup tu kwenye timu, anasababidsha vipi hali kuwa tete!
Naona ule mwiko wa mbarali bado unakutesaMada nyingine bhana! Sasa hizo vurugu za huyo Mkude zitasababisha vipi Yanga kuwa na hali tete!! Mchezaji ambaye ni backup tu kwenye timu, anasababidsha vipi hali kuwa tete!
🚮Naona ule mwiko wa mbarali bado unakutesa
Jamaa nyuzi zake zinachekesha sanaMada nyingine bhana! Sasa hizo vurugu za huyo Mkude zitasababisha vipi Yanga kuwa na hali tete!! Mchezaji ambaye ni backup tu kwenye timu, anasababidsha vipi hali kuwa tete!
GENTAMYCINE alisema.
Kwamba baada ya Genta kusema ndiyo huyu naye anathibitisha au?😀😀😀 alisema genta
Endeleeni tu Kunichukulia poa ( Kunipuuza na Kutoniamini ) hapa JamiiForums sawa?GENTAMYCINE alisema.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!Kwamba baada ya Genta kusema ndiyo huyu naye anathibitisha au?
Mnajuaje labda kasoma uzi wa Genta ndiyo na yeye kaenda kuiongea?
Maana GENTAMYCINE alishalalamika kuwa huyu na wengine huwa wanaiba nyuzi zake na kwenda kuchukulia ujiko.
Habari yenyewe si ni hii hapa?, Genta aliileleta halafu siku mbili mbele wao wakaichukua humu na kwenda kuitundika huko kwao. Lakini angalau hawa walim acknowledge.
View attachment 2773615
Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and EntertainerMimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
HongeraMimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE Mimi.Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer
Mwambieni huyo OKW BOBAN SUNZU aache Kusafiria Nyota yangu na Kusafiria Kiumaarufu na Threads zangu za Michezo hapa JamiiForums kwani bado ni Mtoto Mdogo mno Kwangu.Hongera