Tetesi: ZA NDANI: Juma Mgunda Kocha mpya Geita Gold!

Tetesi: ZA NDANI: Juma Mgunda Kocha mpya Geita Gold!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Habari za uhakika kutoka vyanzo vya kuaminika ni kwamba Juma Mgunda atajiunga na Geita Gold kuanzia leo kama Kocha Mkuu! Hivyo mpango wa kumfanya Kocha Msaidizi umebuma!
 
Habari za uhakika kutoka vyanzo vya kuaminika ni kwamba juma mgunda atajiunga na geita gold kuanzia leo kama kocha mkuu! Hivyo mpango wa kumfanya kocha msaidizi umebuma!
Haikuwa lazima awe kocha msaidizi.
 
Mwambusi alikuwa kocha mkuu Yanga, alipokuja Kaze akawa kocha mkuu na Mwambusi akawa msaidizi. Nabi alikuja akawa kocha mkuu Yanga. Kaze aliporudi akakubali kuwa kocha msaidizi, hadi leo. Tunaweka kumbukumbu tu
NB: Kuna hela na hadhi, inategemea kipaumbele chako
 
Zandaaaaaani kabisa nimemkuta mleta mada akisutwa na mashabiki wa simba leo kibaraza cha nyuma kariakoooo
 
Habari za uhakika kutoka vyanzo vya kuaminika ni kwamba juma mgunda atajiunga na geita gold kuanzia leo kama kocha mkuu! Hivyo mpango wa kumfanya kocha msaidizi umebuma!
Za ndaaani kabisa mumeo kakupiga kibuti
 
Hahaqqq subiri tuone ball litembee shamba loketo
 
Back
Top Bottom