Za ndani kabisa kuhusu sakata la Fei Toto

Kuna ubaya gani mkewe akisimamia show
 
Kumbe jamaa ni mrangi wa kongwa


Huwa nawachukuliaga poa sana warangi na mara zote nawawekaga daraja la chini mno mpaka nilipokutana na huyu jamaa nikalazimika kuwapandisha daraja
Mkuu
ndio ,zachini kabisa baada ya ndugai kuaga Kwa wakuu wa idara ,Baraza la madiwani na maeneo mbalimbali na akiwa anayemiliki mabasi yote ya kimbinyiko Tanzania ndugu JOB ndugai

Huyu kijana pendwa na GSM na msoga gang hapa kongwa ni vikumbo TU ,na bwana mdogo Moja Yuko hazina wameshaaza kumkataa pamoja anatangaza Nia akipigiwa simu anapokea mkewe ,wagogo washaaza kumdisi
 
MO aondoke atuachie timu yetu, hasipoondoka tunasusia bidhaa zake tunahamia kwenye bidhaa za Azam
 
Elimu elimu elimu

Jingine ,lengo kupiga mizinga ujuavyo Ili utamke unachotaka lazima mlengwa
Dizain mke ni mkuda ndio maana kaweka ukuta


Au labda jamaa dhaif ndio maana mke anasimamia shoo
 
MO aondoke atuachie timu yetu, hasipoondoka tunasusia bidhaa zake tunahamia kwenye bidhaa za Azam
Ni kwel mo anazingua lkn kumtoa bila kupata mbadala wake ni tatizo
 
Mkuu Niko field kabisa ,muda huu Niko Kata ya MLALI wilaya ya kongwa
Ndugai alishaaga tayari

Nakipande chakuzunguka katazote za wilaya ya kongwa
Sawa endelea kuzunguka..biashara tulishafunga..mwambie hersi ahesabu maumivu....na ata mkutano mkuu wa wilaya ni maumivu
 
Kwa taarifa yako tu uyo hersi unamjua wew mpambe wake...na sio mkaguru huyo ..muulize wiki tatu zilizopita alivopita kibaigwa akaahidi kurud watu wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa mazafaka....huyo atapats hasara na hapati kitu
 
This is ourtime...wahuni tuko mbele...mwambie maumivu in advance ...i can assure you..atalia
 
Kwa taarifa yako tu uyo hersi unamjua wew mpambe wake...na sio mkaguru huyo ..muulize wiki tatu zilizopita alivopita kibaigwa akaahidi kurud watu wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa mazafaka....huyo atapats hasara na hapati kitu
Wajumbe wanakulaga pesa alaf wanakwambia uliibiwa kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…