Ubingwa wa nini tena!!! 🤔Wafanye wafanyalo wahakikishe hawawadisturb players wetu... kwani ubingwa ni wetu msimu huuu
Au nasema uongo ndugu zangu?????
Mo akili ikimrudi dada anampa cha fasta-fasta ofisini then akili inamruka tena.Yaani pale klabuni, CEO anaelewana na mwekezaji tu! Waliobakia wote, ni kuwindana tu.
Kwani kuna ubingwa upi? Ni hayo mapinduzi tuu?? Namaanisha ubingwa wa NBC mtaniUbingwa wa nini tena!!! 🤔
Kama ni ule wa Ligi kuu na Shirikisho, mjitahidi tu kusahau.
Labda tutawafikiria ubingwa wa Mambuzi kule Zanzibar.
Kwahio tufanyeje sasa?Taarifa za ndani ya Simba SC zinaripoti kuwa, Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya kampuni ya Simba SC, Abdallah Salim 'Try Again' haelewani na Afisa Mtendaji Mkuu wake Barbara Gonzalez kwenye uendeshaji wa mambo katika klabu hiyo. Inaelezwa MO Dewji anamkingia kifua CEO.
source: @FutbalPlanetUpdates
Kama unaongelea ubingwa wa Ngada au tunguli, basi uko sahihi. Ila kama unaongelea ligi kuu, basi wananchi tunakupa pole mapema!Wafanye wafanyalo wahakikishe hawawadisturb players wetu... kwani ubingwa ni wetu msimu huuu
Au nasema uongo ndugu zangu?????
Wachezaji wenyewe ni akina Kibu? Mbona tayari wako disturbed? Au wewe unaona Kibu yuko sawa?Wafanye wafanyalo wahakikishe hawawadisturb players wetu... kwani ubingwa ni wetu msimu huuu
Au nasema uongo ndugu zangu?????
Ubingwa wa mapinduzi ni wenu hio ipo waziWafanye wafanyalo wahakikishe hawawadisturb players wetu... kwani ubingwa ni wetu msimu huuu
Au nasema uongo ndugu zangu?????
Timu inafanya vizuri. Inatosha.Taarifa za ndani ya Simba SC zinaripoti kuwa, Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya kampuni ya Simba SC, Abdallah Salim 'Try Again' haelewani na Afisa Mtendaji Mkuu wake Barbara Gonzalez kwenye uendeshaji wa mambo katika klabu hiyo. Inaelezwa MO Dewji anamkingia kifua CEO.
source: @FutbalPlanetUpdates
Halafu watu wazima kabisa na akili zao wanakwenda kwa Manara ndiyo source yao ya habari hiziNa katika usukaji wa propaganda nchi hii ni kiboko, ndio maana hatuendelei kimpira yaani tupo kijingajinga
Wafanye wafanyalo wahakikishe hawawadisturb players wetu... kwani ubingwa ni wetu msimu huuu
Au nasema uongo ndugu zangu?????
Nyie watu 🤣🤣🤣Mo akili ikimrudi dada anampa cha fasta-fasta ofisini then akili inamruka tena.