Wabongo wakibanwa mwanya wa kupiga Pesa za mchongo lazima wakutengenezee zengwe ionekane hufai, hata viongozi waafilifu huteseka Sana kutegewa mitego mingi ikiwemo mpaka ya kienyejiTaarifa za ndani ya Simba SC zinaripoti kuwa, Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya kampuni ya Simba SC, Abdallah Salim 'Try Again' haelewani na Afisa Mtendaji Mkuu wake Barbara Gonzalez kwenye uendeshaji wa mambo katika klabu hiyo. Inaelezwa MO Dewji anamkingia kifua CEO.
source: @FutbalPlanetUpdates
Labda ubingwa wa kulia liaWafanye wafanyalo wahakikishe hawawadisturb players wetu... kwani ubingwa ni wetu msimu huuu
Au nasema uongo ndugu zangu?????
Kwanza kanamlambisha chumvini na huko kametia jujuMo akili ikimrudi dada anampa cha fasta-fasta ofisini then akili inamruka tena.
Kwahiyo Mo ameacha kula pariki kwasasa analamba chumvi 😄Kwanza kanamlambisha chumvini na huko kametia juju
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Tunataka ule ubingwa uliowafanya msipumue mbela ya ihefu
Huyu Babra kila siku Yuko nje ya nchi sijui anabana matumizi GaniShida ya madam CEO inaweza kuwa KUBANA MATUMIZI KULIKOPITILIZA.
Imagine tumekaa muda kotambo hatuna kocha wa viungo na wa magolikipa. Tukakaa tena kitambo bila kocha mkuu (Mpaka sasa Mgunda ni KAUMU KOCHA MKUU)
Haya, matola ameondoka kwenda masomoni wakamvuta mgosi akae pale bench😂.
Hii BARBARA unu😔
Mleta habari ni konyo.Waambie wabishe tenaView attachment 2442093
Ikawa kweli.Taarifa za ndani ya Simba SC zinaripoti kuwa, Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya kampuni ya Simba SC, Abdallah Salim 'Try Again' haelewani na Afisa Mtendaji Mkuu wake Barbara Gonzalez kwenye uendeshaji wa mambo katika klabu hiyo. Inaelezwa MO Dewji anamkingia kifua CEO.
source: @FutbalPlanetUpdates
Mo Kashagonga sana humoWaambie wabishe tenaView attachment 2442093
Mnabishana na ukweli? Barbara ameshatowa notice ya one month