Zacharia Hans Pope baada ya Yanga kuchukua Ubingwa wa VPL

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
"... ukiniuliza nitakuambia kwanini Yanga wamechukua ubingwa maana najua ni mbinu gani wametumia.. Jambo si kua Bingwa na kushindwa kutuwakilisha vyema, namaanisha unakua bingwa halafu ni "Bingwa wa Kisiwa".. sisi tuna historia nzuri kimataifa kuliko Yanga. Hatukuweza kuchukua ubingwa msimu huu kwa sababu hatukua tayari maana tulikua tunaandaa timu, msimu ujao lazima tutachukua ubingwa na mtatuona tukiwakilisha vyema Kimataifa"... Mwisho wa kumnukuu Ltd Captain Zacharia Hans Pope.

Ni mimi tu kuwaletea Habari.
 
Ameacha kutafuta namna ya kulipa maden ya akina tambwe na logarusic pamoja na hela ya kuiendesha timu yao yeye anakuwa busy kuizungumzia yanga!!!!

Simba haina bahati ya viongoz.......
 

Hata mla mgonjwa anaeharisha, hujiliwaza kula KANDE kuwa eti anafunga choo. Wakati, anajimaliza na kuongeza, matatizo. Hivi kuna ujenzi unaendelea hapo?
 
Simba bwana....



Simba bwana







Penda sana YANGA chama langu
 
Hans popo mpira na yeye wapi na wapi yeye shabiki wa simba oyaoya anakurupuka kusajiri wakati hajui lolote
 

SIMBA SC:

CAF Champions League:
2002 - First Round
2003 - Group Stage
2004 - First Round
2005 - First Round
2008 - First Round

African Cup of Champions Clubs: 8 appearances
1974: Semi-Final
1976: Second Round
1977: Second Round
1978: Second Round
1979: Second Round
1980: Second Round
1981: First Round
1995: Second Round

CAF Confederation Cup: 2 appearances
2007 - Preliminary Round
2010 -

CAF Cup: 2 appearances

1993 - Finalist
1997 - First Round

CAF Cup Winners' Cup: 3 appearances

1985 - Second Round
1996 - Second Round
2001 - Second Round
Source: https://www.jamiiforums.com/sports/48834-simba-sports-club-special-thread-166.html

YOUNG AFRICANS SC:

Performance in CAF competitions

CAF Champions League: 7 appearances
1997 - Preliminary Round, 1998 - Group Stage, 2001 - Second Round, 2006 - Preliminary Round, 2007 - Second Round, 2009 - First Round, 2010 - Preliminary Round, 2012 - Preliminary Round

African Cup of Champions Clubs: 11 appearances

1969 - Quarter-Finals, 1970 - Quarter-Finals, 1971 - withdrew in Second Round, 1972 - First Round, 1973 - First Round, 1975 - Second Round,1982 - Second Round, 1984 - First Round, 1988 - First Round, 1992 - First Round, 1996 - Preliminary Round

CAF Confederation Cup: 3 appearances
2007 Intermediate Round, 2008 - Second Round, 2011 - Preliminary Round

CAF Cup: 2 appearances
1994 - First Round, 1999 - First Round

CAF Cup Winners' Cup: 2 appearances

1995 - Quarter-Finals, 2000 - First Round

Source: Welcome to Young Africans

COMPARE AND CONTRAST!
 

Kwa hiyo unataka kusemaje?
 
Wewe unaonaje?


Ninachoona, kuna timu imecheza ngazi zote za mashindano ya vilabu Afrika kwa maana ya preliminary, first round, second round, group stage, quarter final, semi-final, na final, na kuna nyingine imejikongoja hadi ya quarter final
 
Hivi hayo mafanikio ya kimataifa ya Simba ni yapi?

Mkia banaaa...

Kuingia fainali ya kombe ambalo Etoile anaitoa Yanga weekend hii.
 

Headline Yako Umeandika " Kauli Ya Ltd Captain Zacharia Hans pope Baada Ya Yanga Kuchukua Ubingwa Wa VPL ". Naomba Kujua Hiyo Abbreviation Ya Ltd Inamaanisha Nini? Nitashukuru Ukinielimisha Kuhusiana Na Hilo Mkuu Kwani Humu Tunajifunza Pia!
 
Sasa nyie hata kufuzu hayo mashindano mumeshindwa kelele za nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…