Headline Yako Umeandika " Kauli Ya Ltd Captain Zacharia Hans pope Baada Ya Yanga Kuchukua Ubingwa Wa VPL ". Naomba Kujua Hiyo Abbreviation Ya Ltd Inamaanisha Nini? Nitashukuru Ukinielimisha Kuhusiana Na Hilo Mkuu Kwani Humu Tunajifunza Pia!
Headline Yako Umeandika " Kauli Ya Ltd Captain Zacharia Hans pope Baada Ya Yanga Kuchukua Ubingwa Wa VPL ". Naomba Kujua Hiyo Abbreviation Ya Ltd Inamaanisha Nini? Nitashukuru Ukinielimisha Kuhusiana Na Hilo Mkuu Kwani Humu Tunajifunza Pia!
Hata mla mgonjwa anaeharisha, hujiliwaza kula KANDE kuwa eti anafunga choo. Wakati, anajimaliza na kuongeza, matatizo. Hivi kuna ujenzi unaendelea hapo?
Nadhani alimaanisha Rtd (Retired) na siyo Ltd (Limited). Huenda naye ni Msukuma kama mimi maana kule kwetu penye 'R' huwa tunaweka 'L' and vice versa. Huo ni utamaduni wetu (wala usicheke) kama kwa ndugu zetu Wachagga panapo 'nchi' huweka 'nji'
Mikia bhana, tabu sana. Iwe Yanga au Simba lazima tukubali kwamba hamna aliyewahi kuchukua kombe lolote la CAF. Being alomost a man is not being a man per se.
Waliotoka Dar kwenda Kigoma mmoja akaishia Morogoro na mwingine akaishia Tabora, wote wana sifa moja - hawajafika Kigoma.
Pamoja na hayo nashukuru Makoye Matale kaweka data ili watu walinganishe ndio waseme. Ubingwa wa Bongo Yanga kachukua mara 24 na mikia mara 17. Hilo pengo mbona Hans Pope mhaini halisemi? Msamaha ufutwe arudi jela kunyea debe.
Hivi kiongozi wa Mikia ni Aveva au Hans Pope?
Ameacha kutafuta namna ya kulipa maden ya akina tambwe na logarusic pamoja na hela ya kuiendesha timu yao yeye anakuwa busy kuizungumzia yanga!!!!
Simba haina bahati ya viongoz.......
Championship update: Yanga 25-17 Simba.
"... ukiniuliza nitakuambia kwanini Yanga wamechukua ubingwa maana najua ni mbinu gani wametumia.. Jambo si kua Bingwa na kushindwa kutuwakilisha vyema, namaanisha unakua bingwa halafu ni "Bingwa wa Kisiwa".. sisi tuna historia nzuri kimataifa kuliko Yanga. Hatukuweza kuchukua ubingwa msimu huu kwa sababu hatukua tayari maana tulikua tunaandaa timu, msimu ujao lazima tutachukua ubingwa na mtatuona tukiwakilisha vyema Kimataifa"... Mwisho wa kumnukuu Ltd Captain Zacharia Hans Pope.
Ni mimi tu kuwaletea Habari.
Nadhani alimaanisha Rtd (Retired) na siyo Ltd (Limited). Huenda naye ni Msukuma kama mimi maana kule kwetu penye 'R' huwa tunaweka 'L' and vice versa. Huo ni utamaduni wetu (wala usicheke) kama kwa ndugu zetu Wachagga panapo 'nchi' huweka 'nji'
Nkoi Makoye nene nale msukuma, fomu yane Ntobho Kahama, o wewe fomu yakho mahe?
"... ukiniuliza nitakuambia kwanini Yanga wamechukua ubingwa maana najua ni mbinu gani wametumia.. Jambo si kua Bingwa na kushindwa kutuwakilisha vyema, namaanisha unakua bingwa halafu ni "Bingwa wa Kisiwa".. sisi tuna historia nzuri kimataifa kuliko Yanga. Hatukuweza kuchukua ubingwa msimu huu kwa sababu hatukua tayari maana tulikua tunaandaa timu, msimu ujao lazima tutachukua ubingwa na mtatuona tukiwakilisha vyema Kimataifa"... Mwisho wa kumnukuu Ltd Captain Zacharia Hans Pope.
Ni mimi tu kuwaletea Habari.
sasa mbona mlifukuza makocha na wachezaji mkidai kuwa hawaisaidii timu kushinda ili mchukue ubingwa..wakati lengo lenu sio ubingwa???
sasa mbona mlifukuza makocha na wachezaji mkidai kuwa hawaisaidii timu kushinda ili mchukue ubingwa..wakati lengo lenu sio ubingwa???
Hans popo mpira na yeye wapi na wapi yeye shabiki wa simba oyaoya anakurupuka kusajiri wakati hajui lolote
SIMBA SC:
CAF Champions League:
2002 - First Round
2003 - Group Stage
2004 - First Round
2005 - First Round
2008 - First Round
African Cup of Champions Clubs: 8 appearances
1974: Semi-Final
1976: Second Round
1977: Second Round
1978: Second Round
1979: Second Round
1980: Second Round
1981: First Round
1995: Second Round
CAF Confederation Cup: 2 appearances
2007 - Preliminary Round
2010 -
CAF Cup: 2 appearances
1993 - Finalist
1997 - First Round
CAF Cup Winners' Cup: 3 appearances
1985 - Second Round
1996 - Second Round
2001 - Second Round
Source: https://www.jamiiforums.com/sports/48834-simba-sports-club-special-thread-166.html
YOUNG AFRICANS SC:
Performance in CAF competitions
CAF Champions League: 7 appearances
1997 - Preliminary Round, 1998 - Group Stage, 2001 - Second Round, 2006 - Preliminary Round, 2007 - Second Round, 2009 - First Round, 2010 - Preliminary Round, 2012 - Preliminary Round
African Cup of Champions Clubs: 11 appearances
1969 - Quarter-Finals, 1970 - Quarter-Finals, 1971 - withdrew in Second Round, 1972 - First Round, 1973 - First Round, 1975 - Second Round,1982 - Second Round, 1984 - First Round, 1988 - First Round, 1992 - First Round, 1996 - Preliminary Round
CAF Confederation Cup: 3 appearances
2007 Intermediate Round, 2008 - Second Round, 2011 - Preliminary Round
CAF Cup: 2 appearances
1994 - First Round, 1999 - First Round
CAF Cup Winners' Cup: 2 appearances
1995 - Quarter-Finals, 2000 - First Round
Source: Welcome to Young Africans
COMPARE AND CONTRAST!
Kwa hiyo unataka kusemaje?