Zacharia Hans Pope baada ya Yanga kuchukua Ubingwa wa VPL

Simba ndio timu gani??
Inashiriki kombe gani au la mbuzi
 
Sasa hivi tumesha shtukia dili zenu za kutumia Brand ya Yanga Fc kuboresha Mapato yenu..!

Sasa hivi mashabiki wa Yanga Fc tutacheki game kupitia Azam TV.

-Mbumbumbu nyie!

Na Umbumbumbu Wetu Huu Huu Lakini Kila Tukicheza Huwa AKILI Inarudi Na Unaukalia MTALIMBO Wa Mnyama Kupitia Kwa Super Okwinyo.
 
Na Umbumbumbu Wetu Huu Huu Lakini Kila Tukicheza Huwa AKILI Inarudi Na Unaukalia MTALIMBO Wa Mnyama Kupitia Kwa Super Okwinyo.

Yanga Football Club sio ONE MAN ARMY.

Si muda mrefu mtaomba mechi ya ghafla na Yanga Fc ilikupata pesa za kumlipa OKWI.

Kila mtu anajua kwamba mmefilisika sana.
 
Yanga Football Club sio ONE MAN ARMY.

Si muda mrefu mtaomba mechi ya ghafla na Yanga Fc ilikupata pesa za kumlipa OKWI.

Kila mtu anajua kwamba mmefilisika sana.

Ila Kwako Huwa Tunatajirika Na Nimefurahi Sana Kwa Heshima Kubwa Uliyompa Mume Wenu Hapo Kwa Kumtaja Jina Okwi Nami Naongezea Sasa Anaitwa Super Okwinyo.
 
Kamuulize Mwenyekiti Wako Anaijua Mno Hiyo Timu Kwani Ktk Uongozi Wake Huu IMESHAMKOJOLEA Vya Kutosha Sana Hadi Huwa ANALIA!

Katika uongozi wake Yanga Fc imechukua ubingwa wa ligi Kuu zaidi ya mara 2..... !

Huku simba ikiwa imefukuza makocha zaid ya mara 5......!
 

Utaelewa eh! Haya soma tena.


Katika uongozi wake Yanga Fc imechukua ubingwa wa ligi Kuu zaidi ya mara 2..... !

Huku simba ikiwa imefukuza makocha zaid ya mara 5......!
 
Utaelewa eh! Haya soma tena.


Katika uongozi wake Yanga Fc imechukua ubingwa wa ligi Kuu zaidi ya mara 2..... !

Huku simba ikiwa imefukuza makocha zaid ya mara 5......!

Ahaaaaaaaaa Kumbe Unataka Twende Na Data? Haya Nijibu Super Okwinyo Kawafungeni Mara Ngapi Wana Jangwani? Na Mlijisikiaje Alipowafungeni?
 
Ahaaaaaaaaa Kumbe Unataka Twende Na Data? Haya Nijibu Super Okwinyo Kawafungeni Mara Ngapi Wana Jangwani? Na Mlijisikiaje Alipowafungeni?

Tangu aanze Kuwafunga Yanga Fc ni lini mmechukua Ubingwa wa ligi Kuu Tanzania bara....?

Tuambie idadi ya miaka ambayo imepita tangu mchukue ubingwa wa Ligi....?
 
namuuliza popo tunatoka dar kwenda iringa mimi nimeshuka moro yeye ameshuka mikumi yeye atasema amefika iringa awe na akili ya kuzungumza historia historia zinasomwa shuleni za mitaani hadithi
 
Tangu aanze Kuwafunga Yanga Fc ni lini mmechukua Ubingwa wa ligi Kuu Tanzania bara....?

Tuambie idadi ya miaka ambayo imepita tangu mchukue ubingwa wa Ligi....?

Kwani Mume Hata Kama Hampi Mimba Mkewe Lakini Kutwa Ana MGEGEDA Kuna TATIZO Gani. Nyie Mtabaki Tu Kuwa WAKE ZETU Watamu!
 
namuuliza popo tunatoka dar kwenda iringa mimi nimeshuka moro yeye ameshuka mikumi yeye atasema amefika iringa awe na akili ya kuzungumza historia historia zinasomwa shuleni za mitaani hadithi

Wanakuambia wamefika nusu fainali... Alafu wanayaita hayo ni mafanikio kwao.

Yanga Fc hata akifika nusu fainali hawezi kuyaita hayo Mafanikio...!

Ndio maana hata kwenye ligi wao wanaamini kumfunga YANGA Fc ni mafanikio tosha ya Msimu....!

-jamaa kweli ni MBUMBUMBU hawa.
 
Kwani Mume Hata Kama Hampi Mimba Mkewe Lakini Kutwa Ana MGEGEDA Kuna TATIZO Gani. Nyie Mtabaki Tu Kuwa WAKE ZETU Watamu!

Naona umepanick... ulivyojua kwamba Umbumbumbu unaanza kwa viongozi hadi mashabiki.....!
 
Ngassa ameshatajwa kuwa mchezaji bora wa Msimu huu 2014/15...!

Msuva tayari ni mfungaji bora msimu huu....!

Timu yenye nidhamu bora ni Yanga Fc.

Kipa bora anatokea Yanga Fc.
 
Naona umepanick... ulivyojua kwamba Umbumbumbu unaanza kwa viongozi hadi mashabiki.....!

Vipi Hilo Bundle Umewekewa Na Nani? Kwani Naona Huchoki Kuendelea Kubishana Na Mimi. au Manji Anahusika Kukubandua (Kukupa Bundle?).
 
Vipi Hilo Bundle Umewekewa Na Nani? Kwani Naona Huchoki Kuendelea Kubishana Na Mimi. au Manji Anahusika Kukubandua (Kukupa Bundle?).

Umepanick kiasi kwamba Inaonyesha ni jinsi gani Yanga Fc inavyowachokonia katika mioyo yenu....!
YANGA FC inawakereketa kiasi cha kukosa usingizi na kushindwa kuitetea timu yako ya MCHANGANI..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…