Zacharia Isaay (Mbunge Mbulu): Serikali iache kigugumizi ieleze wazi kuhusu ugonjwa wa kupumua unaomaliza watu wa Mbulu

Huyu mbunge aache wenge. Tanzania hakuna covid 19.
 
Watakuwa madaktari wamemwambia ukweli mana wanabebeshwa mzigo usiowahusu , hata kama hutaki kutangaza , tuone basi huduma zinaboreshwa kimya kimya ili tujue Tija ya kutotangazwa .....
 
Angalau huyu ame risk maisha yake kwaajili ya wana mbulu

Tunataka viongozi kama hawa
 
Amejilipua
 
Ukweli humweka mtu huru.

Sio wachumia tumbo wao kusema ukweli ni dhambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…