mrubwavwasy
Senior Member
- Apr 14, 2021
- 138
- 229
Tafadhali mkuu wa mkoa na wilaya ya Iringa, fanya uchunguzi kwenye zahanati za vijijini haswa Pawaga zinanuka rushwa!
Baadhi ya wauguzi wamefikia hatua wanatoza wajawazito pesa kama hawana wanaandikia referral Iringa mjini wakafanyiwe operation kama kuwakomoa, watu wanalalamika hawana wakuwasemea, wengine wanaogopa hata kwenda clinic.
Kuna muuguzi anajulikana kabisa ana sifa ya kubaka wajawazito siwezi kumtaja kwa kulinda kibarua chake, fanyeni uchunguzi kijiji cha Pawaga kuna zahanati watumishi wametengeneza system yao ya rushwa bila aibu wala huruma.
Baadhi ya wauguzi wamefikia hatua wanatoza wajawazito pesa kama hawana wanaandikia referral Iringa mjini wakafanyiwe operation kama kuwakomoa, watu wanalalamika hawana wakuwasemea, wengine wanaogopa hata kwenda clinic.
Kuna muuguzi anajulikana kabisa ana sifa ya kubaka wajawazito siwezi kumtaja kwa kulinda kibarua chake, fanyeni uchunguzi kijiji cha Pawaga kuna zahanati watumishi wametengeneza system yao ya rushwa bila aibu wala huruma.