Zahera aache uzushi aiande Yanga kushindana.

Zahera aache uzushi aiande Yanga kushindana.

kilimbamula

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
1,792
Reaction score
853
Katika hali isiyo ya kawaida Kocha Mkongo Mwinyi Zahera anaonekana kuwa msemaji wa timu badala ya kazi yako ya ualimu. Kocha huyo amekuwa mzito kukiri udhaifu wa kikosi chake pindi wanapopata matokeo mabaya uwanjani badala yake huanza kuwazushia wenzake na kuwapa lawama.

Tukio la hivi karibuni la kumzushia Canavaro kuhusika na kipigo cha Yanga dhidi ya Simba na malamiko yake dhidi ya Azam kwamba amesikia tetesi kuwa wanajigamba wataifunga Yanga mechi zote mbili hayana mashiko kisoka kama kweli ametamka hayo.

Inasemekana kuwa Zahera anadai na kuhisi kuwa lazima kuna mtu anahujumu, haiwezekani Azam wajigambe kabla ya mechi kuwa watatufunga mechi zote.

Hoja zake hazina mashiko, lengo la Azam ni kupata nafasi ya pili ambayo itawafanya washiriki ligi ya mabingwa. Azam kujiwekea malengo ya ushindi siyo kosa, naye aseme tu kuwa ataifunga Azam.

Yanga msimruhusu Zahera kusema kwenye media bila mpangilio. Lipeni wachezaji mishahara na fanyeni maandalizi ya timu.
 
Mi nimewahi sema mara nyingi hapa jamii forum kuwa huyu sijui kocha wa vyura fc hadi aje afikie mwisho wa mkataba na yanga atakuwa ametuachia watanzania na makovu makubwa sana. yeye bado hajui kuwa simba na yanga ni watani, tunataniana siku ya mechi lkn tukirudi majumbani kwetu sisi ni wamoja,
 
Katika hali isiyo ya kawaida Kocha Mkongo Mwinyi Zahera anaonekana kuwa msemaji wa timu badala ya kazi yako ya ualimu. Kocha huyo amekuwa mzito kukiri udhaifu wa kikosi chake pindi wanapopata matokeo mabaya uwanjani badala yake huanza kuwazushia wenzake na kuwapa lawama.

Tukio la hivi karibuni la kumzushia Canavaro kuhusika na kipigo cha Yanga dhidi ya Simba na malamiko yake dhidi ya Azam kwamba amesikia tetesi kuwa wanajigamba wataifunga Yanga mechi zote mbili hayana mashiko kisoka kama kweli ametamka hayo.

Inasemekana kuwa Zahera anadai na kuhisi kuwa lazima kuna mtu anahujumu, haiwezekani Azam wajigambe kabla ya mechi kuwa watatufunga mechi zote.

Hoja zake hazina mashiko, lengo la Azam ni kupata nafasi ya pili ambayo itawafanya washiriki ligi ya mabingwa. Azam kujiwekea malengo ya ushindi siyo kosa, naye aseme tu kuwa ataifunga Azam.

Yanga msimruhusu Zahera kusema kwenye media bila mpangilio. Lipeni wachezaji mishahara na fanyeni maandalizi ya timu.
 
Mtoa post jiangalie huna kipele sehemu ya kutolea haja kubwa?Aliehusishwa mwenyewe kakiri ni kweli tena hakuhisiwa watu wamemuona kweli wakampigia simu kocha na suala la Azam lipo kama timu ysko inahonga na kununua mechi kwa maelezo ya kocha tena anaambiwa na wachezaji wa timu pinzani wenye mapenzi na klabu kuwa leo tulihadiwa milon 10 kama tungewafunga na tano kama tungedraw au na wewe ndiyo wenye kupiga matokeo nje ya uwanja nini? issue imestukiwa rudia kuangalia mechi yako na kmc utapata majibu
 
Mtoa post jiangalie huna kipele sehemu ya kutolea haja kubwa?Aliehusishwa mwenyewe kakiri ni kweli tena hakuhisiwa watu wamemuona kweli wakampigia simu kocha na suala la Azam lipo kama timu ysko inahonga na kununua mechi kwa maelezo ya kocha tena anaambiwa na wachezaji wa timu pinzani wenye mapenzi na klabu kuwa leo tulihadiwa milon 10 kama tungewafunga na tano kama tungedraw au na wewe ndiyo wenye kupiga matokeo nje ya uwanja nini? issue imestukiwa rudia kuangalia mechi yako na kmc utapata majibu
Nyie yanga hamna akili kabisa, Kwa hiyo mlivyofungwa na Simba, stand Utd, Lipuli mlilipwa kiasi gani?? Pia mnafikiria kwa migogoro iliyopo mtamfunga azam??
 
Nyie yanga hamna akili kabisa, Kwa hiyo mlivyofungwa na Simba, stand Utd, Lipuli mlilipwa kiasi gani?? Pia mnafikiria kwa migogoro iliyopo mtamfunga azam??
Tumeona Jana kirumba mnabebwa kwa lazima. Hiyo nayo timu ya kutamba ?!. Si Yanga wala Simba yenye nafuu wote walewale !!.
 
Zahera anaishi peke yake,naona ana ukame ndo maana ana hasira za ajabu ajabu. Namshauri akamuone mkewe kwanza. Kitendo cha kuwafokea wachezaji wanaoomba haki zao sio sawa kabisa. Juzi juzi tu wamechangiwa pesa. Wawalipe wachezaji. Nani anaekubali kufanya kazi bure?????
 
Back
Top Bottom