Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekuwa na mamlaka Namungo huyu Zahera angepewa mkono wa kwa heri mapema tuu.Namungo haibebeki ni inapigwa kama Ngoma tena nyumbani na team za daraja lake ikiwepo na team mpya ya Fountain Gate.
Hapa naona David ouma akipewa kazi faster na zahera kwenda mapumzikoni
Team ni dhaifu sana naona mashabiki waliamua kuipa support ila game mbili na zote unapigwa goli zaidi ya Moja hapana aisee tena fountain wawe makini wangeweka 4Ningekuwa na mamlaka Namungo huyu Zahera angepewa mkono wa kwa heri mapema tuu.
Yah ni umri kabisa ila pia inawezekana wamefanya mazoezi mazito sanaImenishangaza Sana ...!
Inawezekana Factor ya Umri inawaathiri Namungo maana Magoli Yote Watu Walikuwa Wanapimwa Umri Kwanza!
Huyu Zahera si ndiye aliyekuwa kocha wa yanga?, Kama ni huyu basi aliipoteza yanga mazima kweli wakati ukutaHuenda kawekeza tz na anatumia part time kufundisha mpira ila kwa Namungo namna inapigwa hatoboi huu mwezi
Simba na yanga zile ushindi wake ni zaidi ya kocha (mawazo binafsi) maana wakati wake wachezaji walikuwa wa kawaida sana na bado alimaintain nafasi ya pili.Huyu Zahera si ndiye aliyekuwa kocha wa yanga?, Kama ni huyu basi aliipoteza yanga mazima kweli wakati ukuta
Na ndio sehem iliyokuwa hoi hadi refa akawapa penalty ambayo ni "very tight" lakini wapi.Yaani Center Half acheze Mkongwe Erasto Nyoni ashindane mbio na wale madogo wa 2000's??si atavunjika nyonga tu maana akili inataka lakini mwili unakataa
Na WA ndani nao shida ni zile zile maana hadi Sasa sijaona kocha mzawa ambae ka prove kiasi Cha kushawishi tuachane na makocha wa njeTuna tatizo la kuamini sana watu kutoka nje, zahera ni kocha na si kocha.