EINSTEIN112 JF-Expert Member Joined Oct 26, 2018 Posts 21,711 Reaction score 35,644 Jul 28, 2021 #21 BASIASI said: Kwahiloooo ...akiwa shoga na wewe uwe Click to expand... Kwahio unauhakika gani kama na yeye sio shoga kama wale wengine ni mashoga kwa kigezo hicho?
BASIASI said: Kwahiloooo ...akiwa shoga na wewe uwe Click to expand... Kwahio unauhakika gani kama na yeye sio shoga kama wale wengine ni mashoga kwa kigezo hicho?
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 23,566 Reaction score 24,891 Jul 28, 2021 #22 changaule said: Basi wewe na hao watunga kanuni mnafanana akili zenu kwakuona kuvaa pensi ni kosa na kuvua chupi hadharani sio kosa Click to expand... Na kama watunga kanuni hawana akili ila watekelezaji wanazitii, basi hao ndio wapumbavu kabisa
changaule said: Basi wewe na hao watunga kanuni mnafanana akili zenu kwakuona kuvaa pensi ni kosa na kuvua chupi hadharani sio kosa Click to expand... Na kama watunga kanuni hawana akili ila watekelezaji wanazitii, basi hao ndio wapumbavu kabisa
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Jul 28, 2021 #23 Nendeni mkashitaki CAS ili Simba wanyang'anywe lile kombe.