Zahera kuwa kocha mpya wa Coastal Union, wakutana leo kukamilisha dili

Zahera kuwa kocha mpya wa Coastal Union, wakutana leo kukamilisha dili

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
1645617811533.png

Picha: kocha, Mwinyi Zahera

Mapema leo Jumatano Februari 23, 2022 uongozi wa Coastal Union ya Tanga ulikuwa na kikao cha kukamilisha dili hatua za mwisho ili kuwa kocha wao kuchukua nafasi ya Melis Medo ambaye ametimuliwa kutokana na matokeo mabaya.

Pande hizo zimekutana katika hoteli moja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumalizana, ikiwa ni mwendelezo wa mazungumzo yao waliyoanza Ijumaa iliyopita.

Hivyo, muda wowote kuanzia sasa Coastal watamtangaza kocha huyo wa zamani wa Yanga kuwa kocha wao mkuu hadi mwisho wa msimu huu.
 
Hapo hakuta kua na Fair kompetisheni coastal watatukamia sana na hivi tulitoka nao sare kwa mkapa ugenini itakuwaje? Makolo tunacho.
 
Atafanya free couching au..maana sinasikia huyo mzaire anatajwa kuwa na ukwasi wa kutisha! na kwanza unapenda kufanyia kaz mazngra ya tza
 
Hapo hakuta kua na Fair kompetisheni coastal watatukamia sana na hivi tulitoka nao sare kwa mkapa ugenini itakuwaje? Makolo tunacho.
Akili ya kupakatwa pakatwa tu. Utopolo kazeni buti achaneni na kulilia mbeleko. Ndio maana mnafeli kimataifa
 
Back
Top Bottom