Zahera na AS Vita ndani ya nchi hii?

Ni kweli.lakini tukiulizwa zahera kavunja sheria namba ngapi ya nchi.tutajibu nini?
Kiukweli tangy nizaliwe sijawahi kuishangilia yanga kwenye mashindano yoyote.
Ni jambo ambalo haliwezekani MTU wa bakuli fc.akashabikia simba
Hawezi kula mshahara Bongo alafu alete janja janja mjini...Tutaleta heshima kwa nchi, piga AS Vita na Zahera wao ...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ubunge upi wa kuchaguliwa jitu jizi na tapeli kama huyu Manara? Au anadhani tumeshasahau ni kashfa gani ilimfanya ajiuzuru ukatibu mwenezi wa ccm mkoa wa Dar?

Manara soma hiyoooooo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anajiharibia kwa nani? Kama ni kwetu vyura basi hilo sahau sisi wenyewe tutafurahi sana ikiwa habari hizo ni za kweli kwa maana hata hiyo itakuwa ni moja ya kazi nzuri sana zenye kutukosha nafsi sisi vyura. Simba kesho wakifungwa nitafurahi saaaaanaaaaaaa!!! Lengo letu na furaha yetu ni kuona simba haiendelei. Hatujawaomba mtuwakilishe pambaneni na hali zenu na mjiwakilishe wenyewe. Tena huna haya kabisa,hivi kocha wetu akiwa karibu na Vita Club shida nini,anahujumu nini hapo kwani yupo na wachezaji wenu si yupo na wachezaji Wa vita? By the way mlimfunga so msipige kelele kwa sababu hana mbinu zozote za kuwafunga au kusababisha mfungwe
 
Hata hao Yanga wanamlipa mshahara?
 
Reactions: mmh
Naona una chuki na Manara
 
Zahera anachokitafuta atakipata. Ngoja tufungwe tutaanza ku deal naye
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kosa lake lipi,yeye ni mkongomani kuwasaidia As Vita siyo kosa mbona mlifungwa Kinshasa?,He mbona mnamuogopa wakati mlinfunga akiwa na yanga acheni visingizio bhana.
 
Ile hukumu ya FIFA ilifikaga?!? Huyu mutu huyuuu!!!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha sanasana kuwa na viongozi was dizaini hii kwenye soka.kwani mini cha kuhofia kama timu yako umeiandaa vizuri?!?.najiuliza kama angeonekana mourinho kwenye kambi ya as vita angehamsisha Sunderland wagomee mechi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Masoud Djuma alifanya hivyo hivyo wanyarwanda wenzie walipokuja kucheza na Yanga kwa hiyo hakuna jipya
 
Tangu lini Simba ikawakilisha nchi? Hii ni michuano ya vilabu, msitake kueneza pdopagbanda za kijinga. Mmesahau waKfi Yanga inacheza mlikuwa mkiaviza jezi za wapinzani wao? Mbona hakjna aliyssema mnahujumu nchi? Ni nora mkaboresha mbinu zenu kuliko kujikita kwenye huo ushuzi alioutoa Haji. Kwanza Haji anapaswa kuomba radhi

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…