Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Hata Jana Zahera amelalamika Simba wamepewa ubingwa, kumbukeni Yanga mechi zote round ya kwanza walicheza Dar wakawa wanaongoza, Simba ikiwa mikoani ikishinda na kukusanya points, wakati huo Yanga wapo kileleni, walipoenda mikoani kwenye viwanja vibovu ambavyo simba ilikuwa ikishinda wakaanza kupoteza mechi.
Head to head Yanga kapigwa na Simba msimu huu, wakati simba inacheza kimataifa yanga walikuwa wanasahau mechi zao na kuja uwanja wa taifa kushangilia wapinzani wa Simba.
Mechi zote tulizocheza na vilabu vya Congo mmepoteza mechi zenu za ligi kwa udhuru wa Zahera.
List ya wachezaji,
Makipa unaweza kufananisha kindoki na Manula au Dida?
Chama unaweza kumfananisha na Feisal/Ajibu au tshimbi? Okwi na Ngasa uwafananishe? Makambo Ni mzuri je ukimfananisha na Bocco, Tambwe utamfananisha na Kagere?
Boban utamfananisha na mkude ,Mzamiru au Kotei?
Mchezi anayeongoza kwa magoli yupo timu gani?mchezaji mwenye assist nyingi wa club gani.
Kama Yanga ni wazuri,Simba ilitolewa kwenye FA mda mrefu,huko nani alibebwa hadi mtolewe FA wakati Simba walishatolewa?.
Head to head Yanga kapigwa na Simba msimu huu, wakati simba inacheza kimataifa yanga walikuwa wanasahau mechi zao na kuja uwanja wa taifa kushangilia wapinzani wa Simba.
Mechi zote tulizocheza na vilabu vya Congo mmepoteza mechi zenu za ligi kwa udhuru wa Zahera.
List ya wachezaji,
Makipa unaweza kufananisha kindoki na Manula au Dida?
Chama unaweza kumfananisha na Feisal/Ajibu au tshimbi? Okwi na Ngasa uwafananishe? Makambo Ni mzuri je ukimfananisha na Bocco, Tambwe utamfananisha na Kagere?
Boban utamfananisha na mkude ,Mzamiru au Kotei?
Mchezi anayeongoza kwa magoli yupo timu gani?mchezaji mwenye assist nyingi wa club gani.
Kama Yanga ni wazuri,Simba ilitolewa kwenye FA mda mrefu,huko nani alibebwa hadi mtolewe FA wakati Simba walishatolewa?.