T Tissaphernes JF-Expert Member Joined Mar 27, 2018 Posts 2,902 Reaction score 3,560 Jul 27, 2018 #1 Mmiliki wa mtandao wa Kijamii, Facebook amepoteza zaidi ya Dollar Billion 15 ndani ya dakika 5, ambazo ni zaidi ya Bajeti ya Tanzania kwa mwaka wa fedha 2018/19 Amepoteza kutokana na kufanya vibaya kwa Facebook kwenye hesabu za robo iliyopita Mark Zuckerberg Lost $15.1 Billion in 5 Minutes This Morning
Mmiliki wa mtandao wa Kijamii, Facebook amepoteza zaidi ya Dollar Billion 15 ndani ya dakika 5, ambazo ni zaidi ya Bajeti ya Tanzania kwa mwaka wa fedha 2018/19 Amepoteza kutokana na kufanya vibaya kwa Facebook kwenye hesabu za robo iliyopita Mark Zuckerberg Lost $15.1 Billion in 5 Minutes This Morning
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 69,329 Reaction score 164,730 Jul 27, 2018 #2 hivyo ni vijicent kwake
Royal Warrior JF-Expert Member Joined Nov 19, 2015 Posts 1,166 Reaction score 2,143 Jul 27, 2018 #3 SHAMMA said: hivyo ni vijicent kwake Click to expand... Sio kweli, huo mpunga ni mrefu sana. hapo alipo lazima awe na stress kidogo.
SHAMMA said: hivyo ni vijicent kwake Click to expand... Sio kweli, huo mpunga ni mrefu sana. hapo alipo lazima awe na stress kidogo.
Xubzero JF-Expert Member Joined Jul 21, 2018 Posts 243 Reaction score 413 Jul 27, 2018 #4 Pesa makaratas
heartbeats JF-Expert Member Joined Feb 10, 2014 Posts 6,736 Reaction score 10,669 Jul 27, 2018 #5 Dk tano nyingi ivo ktk stock ku drop au kupanda ni kitendo cha kubonyeza buy or sell naona kuna wadau wakijitoa gafla
Dk tano nyingi ivo ktk stock ku drop au kupanda ni kitendo cha kubonyeza buy or sell naona kuna wadau wakijitoa gafla