ZAIDI YA BILIONI 200 KUTUMIKA KUTANDAZA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO WENYE UREFU WA 4244KM KWA KUTUMIA MIUNDOMBINU YA TANESCO
"Tunamshukuru sana Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia fedha zaidi ya bilioni 200 kwa lengo la kutandaza Mkongo wa taifa wenye urefu wa 4244Km kwa kushirikiana na Shirika la umeme Tanzania (TANESCO). Mradi huu utapunguza kwa kiasi kikubwa gharama za huduma za Mawasiliano Tanzania na kufikisha huduma za intaneti kwa maeneo mengi Nchini kwa kutumia mradi unaojulikana kwa jina la "FIBER TO HOME kwa sababu Mawasiliano ni haki ya kila Mtanzania na lazima yafike Nchi nzima ". - Ameyasema hayo Mhe. Dr. Faustine Ndugulile Waziri wa Mawasiliano na technolojia ya habari wakati wa halfa ya utiaji saini Mkataba Kati ya Wizara ya Mawasiliano na teKnolojia ya habari na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Ujenzi wa Miundombinu ya Mkongo wa taifa wa Mawasiliano kwa kutumia miundombinu ya umeme. Leo jijini Dar es Salaam
"Tunamshukuru sana Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia fedha zaidi ya bilioni 200 kwa lengo la kutandaza Mkongo wa taifa wenye urefu wa 4244Km kwa kushirikiana na Shirika la umeme Tanzania (TANESCO). Mradi huu utapunguza kwa kiasi kikubwa gharama za huduma za Mawasiliano Tanzania na kufikisha huduma za intaneti kwa maeneo mengi Nchini kwa kutumia mradi unaojulikana kwa jina la "FIBER TO HOME kwa sababu Mawasiliano ni haki ya kila Mtanzania na lazima yafike Nchi nzima ". - Ameyasema hayo Mhe. Dr. Faustine Ndugulile Waziri wa Mawasiliano na technolojia ya habari wakati wa halfa ya utiaji saini Mkataba Kati ya Wizara ya Mawasiliano na teKnolojia ya habari na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Ujenzi wa Miundombinu ya Mkongo wa taifa wa Mawasiliano kwa kutumia miundombinu ya umeme. Leo jijini Dar es Salaam