Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
Gharama zao ni kubwa mno alafu vifurushi vidogo tu yaani Hadi huzuni yaaniHahahahahaha nilimwambia kenge mmoja anaesifia TTCL ukiomba unlimted yao ni wanauza karibia 1M!
Ninavyofahamu tofauti ya waya na mkongo ipo hivi: waya ni mmoja lakini mkongo ni 'universal', umebeba nyaya(fiber) nyingi ndani yake.Tofauti ni ipi kati ya mkonga na waya...!?
"Gharama za data ni chini sana" si utueleze kinagaubaga, maana tunatafuta unafuu wa dataNakuuliza na wewe,umewahi fanya Kazi ofisi yoyote ya serikali?
Kule kuna wife za TTCL zilizounganishwa na hiyo cables, gharama za data ni chini Sana,kasi kubwa kuliko mitandao mingine hii inayotegemea satellite.
Kwa mfano 4G iko expensive kuliko kutumia cables nk.
Hawafai wacha nikomae na wapemba tu hukuGharama zao ni kubwa mno alafu vifurushi vidogo tu yaani Hadi huzuni yaani
Itakuwa ni ya TTCL, hao TANESCO nadhani ni kwa ajili ya miundombinu.Kama ni wa TTCL bei zitashuka maana maofisini ile wifi yao iko chini Sana,imagine nchi nzima kufikiwa .
Turudi nyumbani kumenoga.
Serikali iwaulize Halotel wanapata faida gani na mkonga wao ulioenea nchi nzima kabla ya kutupa hizo billioni 200 chooni.Anasema "mradi huo utapunguza kwa kiasi kubwa gharama za huduma za maendeleo na kufikisha huduma za internet kwa maeneo mengi Tanzania " huku mnafungia YouTube na twitter sasa internet mnaimairisha kwa matumizi gani ,mna akili za kujifunika shuka na kujamba sijui unamkomoa nani hapo.
Aiseeee kazi ipo....Ninavyofahamu tofauti ya waya na mkongo ipo hivi: waya ni mmoja lakini mkongo ni 'universal', umebeba nyaya(fiber) nyingi ndani yake.
Wangekuwa hawapati wangeshatangaza hasara kama VodaSerikali iwaulize Halotel wanapata faida gani na mkonga wao ulioenea nchi nzima kabla ya kutupa hizo billioni 200 chooni.
'Miundombinu ya TANESCO', kwamba mkonga utaning'inizwa kwenye nguzo za umeme ama...!?
May be yeye anadhani ni mkonga kama wa TemboUkisikia neno mkongo wa taifa maana yake ni fiber cable network...
Fiber cable ni kama waya lakini wenye kujumuisha nyuzi nyzui zenye material ya glasi yenye kupitisha taarifa za kimawasiliano kwa mtindo wa miale ya mwanga katika frequency yenye kubeba taarifa za ki intaneti, sauti, video n.k
May be yeye anadhani ni mkonga kama wa Tembo