FBY 2013
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 401
- 90
Wakuu,
Mtakubaliana nami kua Mpaka sasa kwa Hizi Week 3 Ambazo Bunge Maalumu la Katiba limetumia,ni Zaidi ya Bilion 3 kwa Posho Pekee zimetumika achilia Gharama nyingine Zisizo rasimi na Kujulikana wazi, Swali la Msingi: Je,Kwa Nchi kama Tanzania kutumia Kiasi hiki cha Pesa kwa Kazi hiyo pekee ni Sahihi?
Chukua Wastani wa Wajumbe 600 kwa Siku.
600 x 21 x 300,000 = 3,780,000,000.
Mtakubaliana nami kua Mpaka sasa kwa Hizi Week 3 Ambazo Bunge Maalumu la Katiba limetumia,ni Zaidi ya Bilion 3 kwa Posho Pekee zimetumika achilia Gharama nyingine Zisizo rasimi na Kujulikana wazi, Swali la Msingi: Je,Kwa Nchi kama Tanzania kutumia Kiasi hiki cha Pesa kwa Kazi hiyo pekee ni Sahihi?
Chukua Wastani wa Wajumbe 600 kwa Siku.
600 x 21 x 300,000 = 3,780,000,000.