Zaidi ya robo tatu ya wakazi wa Dar es Salaam wanaishi katika makazi holela

Teargass

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2018
Posts
20,648
Reaction score
17,772
Jiji la Dar es Salaam ni la tano kwa wingi wa watu Afrika, na linakadiriwa kuwa na watu milioni 13.5 ifikapo mwaka 2035. Licha ya ukuaji huo, zaidi ya robo tatu ya wakazi wa Dar es Salaam wanaishi katika makazi holela. Changamoto nyingine ni ubovu wa miundombinu na ajira rasmi.
 
I am not good in mathematics but 3/3, are you for real? i bet is equal to 100%? are you sure about this? sisi wa Upanga, Kariakoo, city center, kinondoni B, Masaki, oyster bay, mikocheni, msasani, mbezi beach, mbweni, regent estate, bunju, kijitonyama, sinza kibada, tuangoma na mtoni kijichi tuna comment wapi?
 
Correct the headline, I am not sure of three third
 
Corrected.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
NO WONDER THEY COMPARE THEIR MIGHTY SLUM WITH KIBERA AND THE REST OF THEIR LAND WITH TURKANA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…