Wakuu,kulingana na taarifa rasmi nlizozpata muda huu toka chanzo cha kuaminika toka heslb,ni kwamba zaidi ya raia 15000 wamepigwa chini na heslb..watu wanaosoma udaktari wa binadamu&mifugo,uhandisi,kilimo na ualimu wa masomo ya sayansi na hisabati,wamelambwa 100%,wanaosoma ualimu wa masomo ya sanaa na biashara wamepewa kulingana na means testing,pia kuna wachache ambao wanasoma programs zisizo za kipaumbele wamebahatika kupata mkopo.chuo kikuu cha dar es salaam wanafunzi zaidi ya 1000 wamekosa mkopo kabisa!asanten .
Aiseee babaangu sijui kama udsm patakalika
Ud ka tupo 1000 walokosa mkopo wanatosha kabsa kwenye maandamanoWakuu,kulingana na taarifa rasmi nlizozpata muda huu toka chanzo cha kuaminika toka heslb,ni kwamba zaidi ya raia 15000 wamepigwa chini na heslb..watu wanaosoma udaktari wa binadamu&mifugo,uhandisi,kilimo na ualimu wa masomo ya sayansi na hisabati,wamelambwa 100%,wanaosoma ualimu wa masomo ya sanaa na biashara wamepewa kulingana na means testing,pia kuna wachache ambao wanasoma programs zisizo za kipaumbele wamebahatika kupata mkopo.chuo kikuu cha dar es salaam wanafunzi zaidi ya 1000 wamekosa mkopo kabisa!asanten .
bora pasikali kwasababu kuna dalili ya kwenda kuchoma maindi pale ngoja niendele na maru ye osha hadia na samu ya mburu
mbula majuto ufo ng'a?...lunu ngive keri hala maangulwa ngsakulwa vimbarata
mbula majuto ufo ng'a?...lunu ngive keri hala maangulwa ngsakulwa vimbarata
ngikeri ngasha mo twn ivo ngivekumdi isha thuni ala mangulwa ngalemwa umeme uvesumbwa
ngisha sakwa vimbarara ijumaa
Nini hiki?????? duh!!