Zaidi ya wanafunzi 200 walazwa hospitali kwa kunywa uji wenye sumu.

Zaidi ya wanafunzi 200 walazwa hospitali kwa kunywa uji wenye sumu.

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
1,002
Reaction score
277
Ni tukio lililotokea leo majira ya saa nne katika Shule ya msingi Park-Nyigoti Wilayani Serengeti Mkoani Mara.Tukio hilo limetokea baada ya ndoo moja iliyotumika kugawia uji kuwa na sumu ya kuulia wadudu katika pamba.Ndoo hiyo imefika shuleni na baadhi ya mwanafunzi mmoja aliyekuja nayo ikiwa ni sehemu ya kutekeleza maagizo ya mwalimu wa zamu kwa kila mwanafunzi kuja na ndoo ya maji.Mganga mkuu wa hospitali ya NYERERE DDH amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Source😀iwani wa kata hiyo na Mtendaji wa Kata hiyo.
 
MUNGU! Kwa hakika upo na unaweza yote,MUNGU waponye watoto wako hao waliopatwa na janga hili!
Wapone mapema waweze kuingia ktk mchakato wao wa kila leo ktk masomo.

MUNGU,wape nguvu Taifa letu la kesho.
Pole wanafunzi wetu na hakika mtapata kupona na mwendelee na masomo.
 
Back
Top Bottom