MUNGU! Kwa hakika upo na unaweza yote,MUNGU waponye watoto wako hao waliopatwa na janga hili!
Wapone mapema waweze kuingia ktk mchakato wao wa kila leo ktk masomo.
MUNGU,wape nguvu Taifa letu la kesho.
Pole wanafunzi wetu na hakika mtapata kupona na mwendelee na masomo.