Sounds good.... Hebu wape faida kidogo.....fafanua Elimu ya fm6 itawasaidiaje!!!
....Duuh ila mabilioni ya kuwaweka watu JKT yapo na ya kuwapa waandaaji Jarida la Katiba kule Dom yapo eeh?Kuleni ila ipo siku hivyo mnavyovila kwa amani mtatamani mvitapike.Na kumbukeni hii nchi ni yetu sote hebu basi haka ka'keki kataifa tugawane wote japo kila mmoja aweze kupata angalau ladha.
wanatengeneza kupitia JKT coz vijana wanazalsha sana na pia wanatengeneza wajasiriamal,sidhan kama n hasara