Zaidi ya watu laki 4 wanakabiliwa na baa la njaa Kenya

Zaidi ya watu laki 4 wanakabiliwa na baa la njaa Kenya

That is an old fashioned song sang by the people of Dangagiza ili kujiliwaza.......It's like saying the economy of Dangagiza has been growing at 7.5 % for the last 20 years.......
 
That is an old fashioned song sang by the people of Dangagiza ili kujiliwaza.......It's like saying the economy of Dangagiza has been growing at 7.5 % for the last 20 years.......
😂😂😂 Nyie mbona mnakua watata sana kwenye kukubali mapungufu yenu msaidiwe?

Watu million 1 na laki 2 wapo kwenye njaa ya kufa mtu huko Turkana tu bado counties nyingine



Tanzania sisi ukianza kutembea kuanzia kigoma mpaka mtwara barabarani kote huko unakutana na vyakula vya kila aina vikiuzwa barabarani kwa bei chee kabisa, huku ukisema una njaa watu wanakushangaa
 
Kenya na njaa, njaa na Kenya

Mega LDC in the building
 
Okay FAO must take immediatetly measures to resolve starvation in Turk kaunti
 
Turkana SIYO Kenya. Ingekuwa Nairobi tusinge bisha.
 
Twende kwa hesabu za statistic.
Kenya ipo na population ya watu 49,000,000
Huko Turkana watu wanaokabiliwa na baa la njaa ni watub 800,000.

Sasa chukua 49,000,000/800,000 = 61.
Kwa hiyo kwa average ya Turkana kila wakenya 61 mmoja anakumbwa na baa la njaa.

Kwa sample ya turkana. Kenya zipo counties 47. Hebu tuchukulie kwa wastani ya chini kabisa kila country wapo watu 100,000 wanakumbwa na baa la njaa.

Minimum population ya wanaokumbwa na baa la njaa ni 4,700,000.
So chukua 49,000,000÷4,700,000
Utapata 10.
Maabayake ni kwamba kwakila wakenya 10 mmoja anakumbwa na baa la njaa.

Hii hali ni hatari sana siyo ya kuchekea.
 
Kwa sensa ya mwaka 2013 population ya watu Turkana ni 855,399.
Tuchukulie kwa sasa wamefika 1,000,000 maanayake 80% ya population wanakufa na baa la njaa.
 
Twende kwa hesabu za statistic.
Kenya ipo na population ya watu 49,000,000
Huko Turkana watu wanaokabiliwa na baa la njaa ni watub 800,000.

Sasa chukua 49,000,000/800,000 = 61.
Kwa hiyo kwa average ya Turkana kila wakenya 61 mmoja anakumbwa na baa la njaa.

Kwa sample ya turkana. Kenya zipo counties 47. Hebu tuchukulie kwa wastani ya chini kabisa kila country wapo watu 100,000 wanakumbwa na baa la njaa.

Minimum population ya wanaokumbwa na baa la njaa ni 4,700,000.
So chukua 49,000,000÷4,700,000
Utapata 10.
Maabayake ni kwamba kwakila wakenya 10 mmoja anakumbwa na baa la njaa.

Hii hali ni hatari sana siyo ya kuchekea.
Wasipokuelewa na 4 figure basi tena akili zao tope.
 
Back
Top Bottom